HUYU NDIO ASKOFU BILIONEA TANZANIA.
ASKOFU na Nabii George David ‘Geordavie’ wa Kanisa la Geordavie Ministry ‘Ngurumo ya Upako’ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar hivi karibuni alifanya mkutano mkubwa na kutikisa nchi kwa kuwa na...
View ArticleJaji akataa maombi ya kumfutia kesi Chris Brown.
Kesi ya Chris Brown itaendelea kuunguruma baada ya jaji Patricia Wynn wa Washington kukataa maombi ya wanasheria wa mwimbaji huyo yaliyomtaka amfutie kesi inayomkabiri.Mwanasheria wa Chris Brown, Mark...
View ArticleDULLY SYKES ATOBOA SIRI NZITO YA MAFANIKIO YA DIAMOND PLATNUMZ.
Jina la Diamond Platinumz mtoto wa Tandale mwenye historia ya kuishi maisha ya ukata, sasa hivi ni moja kati ya majina makubwa kimuziki barani Afrika huku akishiriki kwenye project kubwa kama One...
View ArticleMZUNGU KICHAA AMPONDA ALI KIBA KWA KUDANGANYA ANGELIPWA MIL 100 KWA SHOW MOJA...
Kati ya vitu ambavyo husaidia kuongeza thamani ya msanii katika macho ya mashabiki ni pamoja na watu kuona akipata dili kubwa na kulipwa pesa nyingi katika shows.Lakini kumekuwepo baadhi ya wasanii...
View ArticlePOLISI WA UGANDA WAVAMIA TANZANIA NA KUANZA KUPIGA RISASI OVYO, WATANZANIA...
Askari saba kutoka nchini Uganda wakiwa na bunduki ambazo idadi yake haijafahamika, wamevamia eneo la Mutukula, mkoani Kagera, na kuanza kufyatua risasi ovyo.Hali hiyo ilizua hofu na kusababisha...
View ArticleDUDU BAYA AMKATA SIKIO MAMA YAKE.
Taarifa hiyo imekuja baada ya kusemekana kuwa eti juzi alidhihirisha kuwa yeye ni DuduBaya baada ya kumvamia mama yake mkubwa na kumkata sikio lake, Akisimulia mkasa huo Mdogo wake Dudu tumbo moja...
View ArticleChegge Chigunda amchana Live Binti Anayedai Kuwa Mpenzi Wake.
Kutoka kwenye Instagram ya Msanii Chegge leo ameweka maneno ya Binti moja akimwambia mwingine kuhusu mahusiano yake na Chegge. Kwenye post ya Chegge anaonekana kutomfahamu kabisa binti huyu.Chegge...
View ArticleAliyejifanya 'ndege mjanja' kanaswa kirahisi
Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Faustine Mwita, amejikuta mikononi mwa polisi kwa tuhuma za utapeli na kujifanya afisa masoko wa shirika la habari la taifa (TBC) ili ajipatie shilingi milioni 6...
View ArticlePicha Za Flaviana Matata Alizoweka Hip hop Mogul Russell Simmons.
Russell Wendell Simmons wanamuita smaku ya biashara kubwa Marekani, huyu jamaa ni mwanzilishi wa record lebel kubwa duniani maarufu kama Def Jam Records, Russell pia ndiye aliyegundua mafazi ya Phat...
View ArticleUnajua PSG wamepewa ahadi ya kiasi gani ikiwa wataitoa Chelsea leo usiku.Soma...
Yakiwa yamebaki masaa kadhaa kabla ya mchezo wa pili wa hatua ya robo fainali ya Champions league kati ya Chelsea dhidi ya PSG, Raisi wa klabu ya PSG Nasser Al-Khelaifi ametoa ofa nzito kwa wachezaji...
View ArticleWachezaji hawa wawili hawatoichezea Manchester United dhidi ya Bayern kesho.
Klabu ya Manchester United leo mchana imesafiri kuelekea jijini Munich kwa ajili ya kupambana na Bayern Munich katika mchezo wa pili wa hatua ya 16 bora.Katika listi ya wachezaji waliosafiri na timu...
View ArticleHiki ndio kikubwa kingine alichokifanya mfalme wa soka duniani Pele.
Mwanasoka anayetajwa kuwa bora kuliko wote waliowahi kutokea duniani, mbrazil Pele ametumia fursa ya kombe la dunia kutambulisha biashara ya kumuingizia kipato zaidi.Kwa kutumia nywele zake mbrazil...
View ArticleHaya Kweli Maajabu,Goli la Ronaldo lilivyookoa uhai wa mtoto huko Poland.
Ama kwa hakika mchezo wa soka umeteka hisia za watu kuliko ilivyo kawaida.Habari kutoka nchini Poland ni kwamba goli la mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo lilimsaidia mtoto aliyepoteza fahamu...
View ArticleRAIS JAKAYA KIKWETE ACHAGULIWA KIONGOZI BORA AFRIKA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amechaguliwa kuwa Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013 .Heshima hiyo kwa Rais...
View ArticleGODBLESS LEMA AMWANDIKIA RAIS KIKWETE WARAKA.
Mh Rais Nakusalimu . Wakati mwingine unapaswa kupewa pole na kuombewa na kufanyiwa dua kwani wewe ndie unatumikia ofisi kubwa kuliko zote Nchini na wakati huo huo unapaswa kupewa hongera kufikia...
View ArticleONA NDEGE YA AJABU ILIYOTENGENEZWA NA HUYU MKENYA.
Nchini Kenya kuna Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Naivasha ambae katengeneza ‘Ndege’ yake ambayo toka ameanza kuiunda alisema lazima ipae huku akiwa katumia vifaa mbalimbali kutoka kwenye Bajaji...
View ArticleHIVI NDIVYO VILIO VILIVYOTAWALA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU KANUMBA.
R.I.P Kanumba! Ikiwa imepita miaka miwili au siku 730 tangu aliyekuwa mwigizaji nambari wani Bongo, Steven Kanumba ‘The Great’ afariki dunia, aliyekuwa mpenzi wake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amejikuta...
View ArticleMASKINI HUYU MSANII WA FILAMU ZA BONGO! HAYA NDIO MANENO YAKE JUU YA LULU.
Msanii wa bongo movie Diana Kimaria ameibuka na kukanusha vikali kuwa kamwe hawezi kuliwa uloda na mwanaume aliyempitia rafiki yake Lulu Michael kwa sababu kwani wao ni zaidi ya rafiki.Akizungumza na...
View ArticleKUHUSU KUMKATA MAMA YAKE SIKIO HII NDIO KAULI YA DUDU BAYA.
Siku ya jana zilisambaa habari katika mitatandao kuwa Mwanamuziki Dudubaya Amemkata Mama yake Masikio na amekimbia na kujificha huku Polisi wanamtafuta.Dudubaya Amehojiwa na Gossip Cop na kusema hata...
View Article