Kutana na Mapacha wanaoshirikiana kila kitu hadi Uhusiano wa kimapenzi.
Huwa si kitu cha ajabu kuona mapacha wakifanana kila kitu ndani ya familia hadi kusababisha watu kuwachanganya pindi wanapokutana nao kama hawajawazoea kuwaona kila siku.Na mara nyingi mapacha wamekua...
View ArticleULEVI NOUMAAAH ONA YALIYOMKUTA JAMAA NDANI YA TRENI.AIBUUUH.
Tumesikia stori nyingi zinazozungumzia athari za matumizi ya pombe kwa kiasi cha kupindukia, stori hii inamhusu jamaa ambaye alilewa kupindukia na kulala usingizi mzito ndani ya treni akiwa mtupu bila...
View ArticleMwanamke amnyonga mwanaye wa miaka miwili ili ‘ajirushe’.
Wapo wanawake ambao wamekua wakihangaika usiku na mchana ili waweze kupata watoto lakini wapo wengine ambao wamekua wakipewa watoto hao na Mungu lakini hukufuru kwa kuwaua kwa sababu tu hawana uwezo...
View ArticleHichi Ndicho Alichoandika Hemedy PHD kuhusu msanii wa Tanzania aliesema...
Mwigizaji/Mwimbaji Hemedy PHD ni miongoni mwa mastaa wa Tanzania ambao hutumia sehemu ya muda wao pia kuandika kwenye mitandao ya kijamii yake ya moyoni ama kuwafikishia taarifa mashabiki wake.November...
View ArticleFAHAMU MAMBO 11 YA KIJINGA YANAYOFANYA MOVIE ZA KIBONGO ZIZARAULIWE..
1-walinzi wengi huwa ni comedians2-tajiri anakuja kumpenda masikini3-jambazi lazima awe anavaa miwani nyeusi na mvuta sigara na koti refu jeusi4-wote wanaouwawa kwa bunduki hupigwa kifuani au tumboni...
View ArticleCNN YARIPOTI KUUAWA KWA RAIS BARACK OBAMA WA MAREKANI.
Ilishtua wengi na kuzua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii baada ya shirika la utangazaji Marekani CNN kuripoti kuuawa kwa Rais Obama.Makosa ya kiuandishi yalifanyika ambapo mtayarishaji wa...
View ArticleBRAND NEW - EMBE DODO
Embe Dodo Remix - Hii ni kubwa kuliko kutoka Grandmaster Records kwa ushirikiano mkubwa na Lovechild Records, Beeman akiwa na Jordan, Wyre, Banana Zorro, Ben Pol, Jdeal, Steve RnB na Dullayo. Produced...
View ArticleMAKUBWA,KUMBE SHILOLE ANAMPIGA SANA MPENZI WAKE MZIWANDA...
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda akiwa na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’.MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda amefunguka kuwa watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kupewa kichapo na...
View ArticleTaarifa nyingine kuhusiana na hali ya kiafya ya Rais Kikwete.
Taarifa kuhusiana na hali ya kiafya ya Rais Dkt. Jakaya Kikwete ambaye yupo Maryland Marekani kwa ajili ya matibabu, imesema hali yake kiafya inaimarika na ameanza mazoezi ya kutembea ikiwa ni siku ya...
View ArticleMapigano mapya yazuka Sudan Kusini.
Mapigano mapya yamezuka katika majimbo matatu nchini Sudani kusini , siku chache baada ya pande mbili hasimu kukubaliana kumaliza mzozo ambao umekuwepo kwa miezi 11.Wiki iliyopita, Raisi wa Salva Kiir...
View ArticleRihanna ndani ya Ikulu ya Marekani,Picha Zaidi Ziko Hapa.
Jumatatu Novemba 10 badgalriri ambae ni hivi karibuni amerudi kwenye account yake ya instagramalitinga ndani ya Ikulu ya Marekani (White House) ambapo hizi ni picha alizoziweka kwenye ukurasa wake wa...
View ArticlePENNY AFUNGUKA BAADA YA DIAMOND KUPIGWA CHINI NA WEMA SEPETU
Mtangazaji aliyewahi kujiachia kimahaba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema mwanamuziki huyo kwa sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na hawezi kumpata tena.Kauli ya mwanadada huyo...
View ArticleStori 10 Hot kwenye Magazeti ya leo Tanzania November 11,2014.
NIPASHEMtoto mweye umri wa miezi miwiliameibiwa baada ya mama yake kudaiwa kunyweshwa dawa za asili na mganga wa kienyeji katika kijiji cha Katororo Wilayani Geita.Kamanda wa Polisi Mkoani Geita Joseph...
View ArticleMahakama yatoa hukumu kwa Nahodha wa Meli iliyozama na kuua watu 300.
Mahakama imetoa hukumu kwa Nahodha na jumla ya wenzake kumi na nne kwa kupatikana na hatia ya uzembe uliopelekea meli kuzama na kuua watu 300.Nahodha Lee Joon-seok amehukumiwa kifungo cha miaka 36 kwa...
View Article