TAZAMA MWONEKANO WA MTANGAZAJI WA TBC FM D' JARO ARUNGU A.k.a BABA MZAZI
Huyu jamaa ni Shiiiiida! Yani kwenye kipindi chake ukifungulia TBC FM huchoki kumsikiliza ni hatareeeeeee...!!!MTANGAZAJI WA TBC FM D' JARO ARUNGU Nipe tranooooooooo...!
View ArticleTabora wamkataa Nuh Mziwanda......Wasema hawezi kuwa mume wa Shilole
Nuh Mziwanda jana alijikuta katika wakati mgumu mjini Tabora baada ya Shilole kuwauliza wakazi wa mkoa huo anakotokea iwapo Nuh Mziwanda anafaa kuwa mume wake.Shilole ambaye ni mchumba wa Nuh...
View ArticleTuhuma za Usagaji: Aunt Lulu Ampigia Magoti mama yake
Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa skendo ya kujihusisha ya vitendo vya kisagaji inayomuandama imemsababishia msala mkubwa kwa mama yake na kuamua kumuomba radhi....
View ArticleKivazi Cha Jini Kabula Aibu Tupu....."Maziwa" Yote Nje!
Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ amewaacha watu midomo wazi baada ya kutinga kivazi kilichomuacha wazi mwili wake. Jini Kabula alitinga kivazi hicho kwenye...
View ArticlePicha: Uzinduzi wa Video Mbili za Profesa Jay Ulivyokonga Nyoyo za Mashabiki
Nguli wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule a.k.a Professa J jana aliweza kufanya vyema katika uzinduzi wa video zake mbili, 'Kipi Sijakisikia' na 'Tatu Chafu' uliofanyika jijini Dar es Salaam....
View ArticleTamasha la SereNgeti Fiesta 2014 Ladondosha burudani ya Nguvu kwa Wakazi wa...
Ilikuwa buruuudani ya kusambaza upendo wa kweli kwa wakazi wa Tabora ndani ya tamasha la Fiesta Msanii mwingine anaekuja vyema kwenye anga ya muziki wa Bongofleva aitwaye Kadja ambaye anatamba na wimbo...
View ArticleTRAFIKI ALIYEGONGWA NA DALADALA JANA, AFARIKI DUNIA
WP 2806 CPL Riziki, akiwa chini baada ya kugongwa na daladala eneo la Mbagala Rangi 3 jana kabla ya kukimbizwa hospitali.ASKARI wa usalama barabarani, aliyejulikana kwa jina moja la Riziki, WP 2806 CPL...
View ArticleMAMA AMTOA MWANAYE KAFARA AWE TAJIRI!
MY God! Hali huenda ikigeuka, wakati jamii inaamini akina baba ndiyo wenye tabia ya kutokuwa na uchungu kwa watoto, imekuwa tofauti kwa mama huyu!Ni mkazi mmoja wa Kijiji cha Mwanamonga, Kata ya...
View ArticleKIJANA AJITOKEZA KWENYEZA KWENYE MAZISHI YAKE
Katika hali isiyo ya kawaida, maeneo ya Tandale Kwatumbo jijini Dar, waombolezaji hawakuamini macho yao wakati walipomuona ‘marehemu’ Mohamed Salum ‘Fido’ (29) (pichani), akirejea nyumbani hapo huku...
View ArticleDamu Yamwagika tena Mkoani Geita.....Mvuta Bangi Aua Watu watatu na kumjeruhi...
Matukio ya mauaji ya watu wasio na hatia, yameendelea kuuandama Mkoa wa Geita, kufuatia watu watatu kuuawa kwa kukatwa mapanga na kuchomwa mkuki huku mmoja akijeruhiwa baada ya mtu mmoja anayesadikiwa...
View ArticleMWANAMKE MCHAWI ADONDOKA KANISANI AKIWA NA TUNGULI ZAKE
Ni kwenye Kanisa la Paradise Internation Ministries lililoko Karakata Ukonga jijini Dar, mwanamke mmoja (pichani) anayedaiwa mchawi alidondoka usiku wa saa saba na kujikuta hawezi kutembea. Tukio hilo...
View ArticleMbowe kujifanya Amiri Jeshi Mkuu na kutangaza Vita ya Maandamano.....Wasema...
KAULI ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuagiza yafanyike maandamano na migomo nchi nzima bila kikomo, ikiwezekana hata bila ya kibali cha Polisi, imelichefua Jeshi la Polisi. Jeshi hilo...
View ArticleMkuu wa Kituo cha Polisi Anusurika Kuuawa na Wananchi baada ya kufamaniwa...
Mkuu wa kituo cha polisi cha Nyamboge kilichopo katika kata ya Katoma wilayani Geita mkoani Geita amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kukutwa akitaka kufanya mapenzi na...
View ArticleAskari Watatu Wajeruhiwa kwa Bomu Songea, Ruvuma
Askari Polisi wakiwa eneo la tukio kuimarisha ulinzi Eneo la tukio likiwa limezungushiwa alama na Jeshi la Polisi.Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwangu akizungumza jambo na waandishi wa habari katika...
View ArticleMaandamano ya CHADEMA Yaliyopangwa Kufanyika Leo yamepigwa Marufuku.....Vyuo...
Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), yaliyotarajiwa kuanza kufanyika leo katika maeneo mbalimbali nchini. Jeshi hilo limeonya kuwa...
View ArticleWawili Wafa katika AJALI Wakitoka kuzika mwenzao Musoma
Watu wawili wamekufa na wengine watano kujeruhiwa baada ya magari mawili, likiwamo basi dogo la abiria walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori la mafuta. Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa...
View ArticlePingamizi la Mwanasheria Mkuu dhidi ya TLS Latupiliwa Mbali
Pingamizi la Mwanasheria Mkuu (AG) dhidi ya ombi la kibali cha kufungua kesi ya kupinga vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mkoani Dodoma limetupiliwa mbali katika Mahakama Kuu Kanda ya...
View ArticleMtuhumiwa Kesi ya Ugaidi Awalalamikia Polisi kwa Kumminya Sehemu zake za Siri...
Mtuhumiwa katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu...
View ArticleMSANII HUYU MPYA WA FILAMU ZA BONGO ATABIRIWA KUWA TISHIO KWA WAKONGWE
Kila kukicha katika tasnia ya filamu bongo kumekuwa kukichipukia wasanii wapya ambao wamekuwa wakileta mapinduzi kwa wakongwe wa tasnia hiyo kwa namna moja ama nyingine.Hali hiyo imekuwa ikileta ladha...
View ArticleUpdate: Polisi Wavamia Ofisi za CHADEMA Mkoani Morogoro
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Polisi wamevamia ofisi za CHADEMA wilaya ya Morogoro na kuwakamata Viongozi waandamizi Watano wa chama hicho waliokuwa wakijiandaa...
View Article