Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Update: Polisi Wavamia Ofisi za CHADEMA Mkoani Morogoro

$
0
0


Habari  zilizotufikia  hivi  punde  zinaarifu  kuwa  Polisi wamevamia    ofisi  za  CHADEMA  wilaya  ya  Morogoro  na  kuwakamata  Viongozi  waandamizi  Watano  wa  chama  hicho  waliokuwa  wakijiandaa  kuongoza  maandamano  ya  kupinga  Bunge  Maalumu  la  Katiba.

Wakati  hayo  yakijiri, taarifa  kutoka  Zanzibar  zinaarifu  kuwa  Polisi mjini Magharibi  wamepiga  marufuku  mkutano  wa  CUF  uliokuwa  umepangwa  kufanyika  uwanja  wa  Bububu  Jumapili  ya  wiki  hii  kutokana  na  sababu  za  kiusalama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles