KUTANA NA WANAUME WANAOTAMANI KUWA WANAWAKE.
Janga hili la mashoga linazidi kuongezeka vijana wenye nguvu na akili timamu wanaamua kuwa mashoga. na kujishughulisha na biashara ya kujiuza, hii ni laana au ni nini, wengine wamezaliwa na kukuwa na...
View ArticleMUME ALA KICHAPO KIKALI KUTOKA KWA MKEWE.
Jamaa alijikuta anapata kichapo kikali kutoka kwa mke wake baada ya kumuonyesha jeuri ya kutorudi nyumbani mapema na kuchelewa kila siku huku akiwa amelewa, siku moja alirudi usiku huku akitukana...
View ArticleLINAH: NIFUATILIE KAZI YANGU NINAYOFANYA NA SIO KINGINE.
Linah Sanga maarufu kama Lina kutoka jumba la vipaji Tanzania (THT) anayetamba sasa na ngoma yake ya ‘Tumetoka Mbali’, ameamua kuwachana wale wote wanaomfuatilia nje ya muziki.Linah amekuwa ni miongoni...
View ArticleUganda:Mashoga,wasagaji kufungwa maisha.
Muingereza David Cicil gerezani kwa madai ya tamthilia chafuIwapo Rais Yoweri Museveni ataidhinisha sheria hiyo inamaanisha atakayepatkana na hatia atahukumiwa kifungo cha maisha gerezani.Mswaada huo...
View ArticleMTOTO ALIA NA KUSEMA: NIMECHOKA KUBAKWA NA BABA!
Stori: JOSEPH NGILISHO, ArushaAMA kweli dunia sasa inaserereka! Katika hali ya kusikitisha, baba mzazi mwenye familia ya watoto watatu, mkazi wa Kambi ya Fisi jijini hapa, anashikiliwa na polisi kwa...
View ArticleDIAMOND AFANYA PATI YA UFUSKA!
Diamond Platnumz akimmwagia manoti Halima Kimwana.Stori: Hamida Hassan na Musa MatejaKUFURU ya kufunga mwaka! Dogo anayejua kuzitumia vyema fursa muhimu, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ amefanya...
View ArticleAMANDA AANIKA CHANZO CHA USAGAJI KWA MASTAA.
Na Mwandishi WetuMSANII wa filamu, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amefungukia sababu za baadhi ya mastaa kujiingiza kwenye tabia chafu ya usagaji akidai kuwa, kutendwa na wanaume ndiyo chanzo cha yote.Tamrina...
View ArticleRACHEL ASAKA BWANA WA ‘KUMBONJI’ NAYE KENYA.
Na Mwandishi WetuMWANAMUZIKI Winfrida Josephat ‘Rachel’ juzikati aliwashangaza watu baada ya kudai kwamba siku hiyo baada ya shoo yao akiwa na Kundi la Kigoma All Stars mjini Nairobi alikuwa akitafuta...
View ArticleWafunga ndoa hadharani wakiwa uchi wa mnyama huko Marekani, waenda kuilia...
Dunia haiishi mambo na vijimambo, bibi na bwana harusi waliojikita katika kutetea haki za kupiga picha uchi, Gypsy Taub na mkewe Jaymz Smith waishio San Francisco wamejikuta wakilia honeymoon yao...
View ArticleNando asema yupo single kwakuwa wasichana hawawezi kumvumilia.
Mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Afrika mwaka huu, Ammy Nando amesema hayupo kwenye uhusiano wa kimapenzi kwasababu wasichana hawawezi kumvumilia kwakuwa hajatulia.Akiongea na...
View ArticleHUYU MSANII WA KIZAZI KIPYA AGEUKA MGANGA WA KIENYEJI.
MSANII wa zamani wa kundi la Wakilisha, Witness Mwaijaga, amesema pamoja na kufanya hip hop kwa sasa ni mfanyabiashara na mtaalam wa tiba asili zinazotumia vyakula vyenye virutubisho.Akizungumza na...
View ArticleMWANAMKE AFARIKI DUNIA BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA MBWA.
MWANAMKE mwenye umri wa miaka 43 nchini Ireland amefariki dunia baada ya kufanya mapenzi na Mbwa.Mwanamke huyo ambaye alikuwa ni mama wa watoto wa wanne, jina lake halijatajwa, lakini imefahamika...
View ArticleMCHAWI AANGUKA PEMBENI YA KANISA AKIWA NA KIGANJA CHA MKONO WA MTU MDOMONI.
Dada mmoja aliye julikana baadae kama Esther alianguka pembeni ya kanisa huko Naija huku akiwa na kiganja cha mkono wa mtu mdomoni na gongo kubwa mkononi, baada ya kuhojiwa baadae alisema kwamba yeye...
View ArticleHUYU NDIYE IMAM WA KWANZA SHOGA WA WAZI KABISA.NA ANAJIVUNIA KUWA NA HALI HIYO.
He’s been condemned by other Muslim leaders, and some local imams have even refused to greet him. But Imam Daayiee Abdullah – believed to be the only openly gay imam in the Americas – is proud of his...
View ArticleSHAA AJIBU MASHTAKA YAKE 10 MUHIMU.
Mkali wa Sugua Gaga, Shaa ambaye sasa hivi wimbo wake uliokaa kiswazi zaidi ndio ‘habari ya mujini’ amejibu maswali muhimu kuhusu maisha yake na muziki wake.Shaa amefunguka wakati anaongea na tovuti...
View ArticleMADAM RITA:NILIPATA UJAUZITO NIKIWA NA UMRI MDOGO SANA.
Madam Rita kupitia akaunti yake ya Facebook amekuwa akitoa stori mbalimbali zinazomuhusu juu ya mambo mengi ambayo yamewahi kumtokea/ kumpata kipindi cha nyuma au katika maisha yake kiujumla.Moja ya...
View ArticleAKIRI KUMCHINJA MDOGO WAKE BAADA YA BABA YAKE KUMUANDIKISHA MALI ZOTE MTOTO...
Mwili wa marehemu Kalebu ukiingizwa katika makazi yake ya milele katika makaburi ya Nakonde nchini Zambia.Ibada ya mazishi ikiendelea katika makaburi ya Nakonde nchini ZambiaUmati wa waombolezaji...
View ArticleMCHAWI AKAMATWA DAR NA KUUAWA LIVE BAADA YA KUDONDOKA NA UNGO.
WANANCHI wenye hasira kali wamempiga hadi kumuua mtu mmoja mwanaume aliyesadikiwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amepanda ungo maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam, Mtanzania...
View ArticleYanga wamtimua Kocha Mholanzi Ernie Brandts.
Timu ya Yanga imemtimua kocha wake mkuu ambaye ni raia wa Uholanzi Ernie Brandts ikiwa ni siku mbili zimepita baada ya kupokea kichapo cha goli 3-1 kutoka kwa watani wao wa jadi Simba kwenye mchezo wa...
View Article