Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Godzilla na Diamond kuachia collabo mwakani.

Ni nadra sana kwa Diamond Platnumz kufanya collabo na tena na msanii wa Hip Hop. Mwaka huu hitmaker huyo wa ‘My Number One’ alishirikishwa na Nay wa Mitego kwenye ‘Muziki Gani’ na kushuhudia mafanikio...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZITTO KABWE AFUNIKA MKUTANO WA HADHARA HUKO KIGOMA MJINI.

Kama kawaida Steji imepambwa kwa bendera ya Taifa ishara ya wazi kabisa kuwa Zitto Kabwe anafanya siasa za Kitaifa,Lakini Pia mapokezi yake na Mikutano yake imejaa Utaifa Kwanza.Mh.Zitto Kabwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATENGENEZA MABOMU YA KIVITA 7 WANASWA NYUMBA YA IBADA.

 Na Oscar Assenga,Korogwe.JESHI la Polisi mkoani  hapa kwa kushirikiana na wakazi wa Kijiji cha Maili kumi wilayani Korogwe wamefanikiwa kuwakamata watu saba kwa tuhuma za kuhusika na kuweka mabomu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WINGA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila Hali Tete...

 WINGA wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Edibily Lunyamila leo hii asubuhi amekimbizwa katika hospitali ya Mwananyamala baada ya kusumbuliwa na kifua na sasa anapumua kwa msaada wa mashine.Mtandao huu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rihanna na Beyonce wampa kigugumizi Jokate Mwegelo, nani adondoke Tanzania...

Nani mkali zaidi kati ya Beyonce na Rihanna? Hilo ni swali ambalo limezua mjadala kati ya fans wao, lakini nani aje Tanzania mwakani kati ya wawili hao, ni mjadala mwingine mkubwa.Mrembo, mwanamitindo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAFUTA KODI YA LINE ZA SIMU NA KUIREJESHA KWA STAILI NYINGINE.

Serikali imeondoa kodi ya kadi za simu iliyopitishwa na wabunge katika Mkutano wa 13 wa Bunge ambayo ililalamikiwa na wadau na watumiaji wa simu nchini.   Hata hivyo, kodi hiyo imerejeshwa kwa staili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGONO ZEMBE YA WANAFUNZI KIJIJINI KIEGEI KWA BEI YA 500.

Hii ndio hali halisi utakayo kutana nayo kilometa 660 kutoka Dar es Salaam na kilimeta 122 kutoka Nachingwea. Katika kijiji cha Kiegei kila tarehe 25 ya mwisho wa mwezi, baada ya mnada wa bidhaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii wa Burundi Kidum, anahitaji kufanyiwa upasuaji.

Mwanamuziki aliyeiteka Afrika Mashariki na ngoma kama ‘Nitafanya’ akiwa na Lady Jay Dee aka Anaconda, Kidum toka Burundi anaumwa na anahitaji kufanyiwa opasuaji.Kwa mujibu wa Standard Digital, Kidum...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mrusi Mikhail Khalashnikov aliyevumbua bunduki aina ya AK-47 afariki dunia.

Raia wa Urusi, Mikhail Khalashnikov ambaye aligundua bunduki aina ya AK-47 mwaka 1942 amefariki dunia jana (December 23).Khalashnikon amefariki akiwa na umri wa miaka 94, na anakumbukwa kwa mchango...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaseja azungumzia kutompa mkono Ivo Mapunda.

Golikipa wa timu ya Yanga, Juma Kaseja amefunguka kuhusu uamuzi wa kutompa mkono golikipa wa timu ya Simba Ivo Mapunda, kwenye mechi ya hisani ya Nani Mtani Jembe.Ivo amedai kuwa hana bifu lolote na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EWURA yapandisha bei ya umeme, kuwagusa zaidi watumiaji wa majumbani.

Mamlaka  ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza rasmi ongezeko la gharama za umeme, zitakazoanza kutumika rasmi January Mosi,2014. Ongezeko hilo limewagusa zaidi watumiaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Justin Bieber atangaza kustaafu muziki, awaachia majonzi mashabiki wake.

Justin Bieber amethibitisha kupitia Twitter kuwa ni kweli anastaafu muziki. Nyota huyo wiki iliyopita alisema anaacha muziki japo madai hayo yalikanushwa na meneja wake. Hata hivyo siku ya Christmas...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ben Pol azitaja nyimbo zake 10 bora za Bongo Flava mwaka 2013.

Ben Pol ametoa orodha ya nyimbo 10 za Bongo Flava zilizotoka mwaka 2013 na ambazo yeye anaziona bora zaidi.  Kwenye orodha hiyo, Ben Pol amezitaja nyimbo mbili za Weusi ukiwemo Nje ya Box ambao kwake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ETI NI KWELI WANAUME HUPENDA KUOA MWANAMKE WA AINA HII?

WANAUME HUPENDA KUOA MWANAMKE WA AINA HIIHabari za wiki hii mpenzi msomaji. Mimi namshukuru Mungu kwa kuweza kunikutanisha na nyinyi kupitia safu hii ambayo pamoja na mambo mengine nazungumzia juu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMBO AMBAYO WANAUME WANAKOSEA WAKATI WA KUTONGOZA MWANAMKE.

1.PAPARAwanaume wengi tumekuwa na haraka sana tunapokuwa tukitaka kuaproach hali inayomfanya mwanamke akuwekee ugumu.mfano umekutana na dada mzuri mmesalimiana hapo hapo unamuomba namba yake.mjomba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWELI DUNIA ADAA!! SOMA KISA HIKI CHA KUSIKITISHA.

Hii imetokea wiki kadhaa zilizopita.Kijana mmoja jirani yangu ana rafiki yake. Walikuwa wanasoma pamoja. Ni marafiki wakubwa ambao hata wazazi wanajua. Walikuwa wanasoma pamoja na kushirikiana mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE, WEWE NI MMOJA KATI YA WATU WENYE AIBU MBELE ZA WATU WENGINE..?DAWA IKO HAPA.

 Watu wenye aibu ndani yao wanafahamu fika kuwa kuna mambo mazuri yanawapita lakini wanahisi hawana jinsi ya kubadilisha hali hiyo.  Aibu kimahesabu ni sawa na:AIBU = KUKOSA FURSA + KUKOSA FURAHA +...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND AMTAJA TENA WEMA KAMA MCHUMBA WAKE NA AKAPANDA JUKUANI KUWAPA HI...

Hii ilikuwa jana pale Leaders club kwenye show ya Diamond ambapo Wema Sepetu alipanda kwenye stage na kuongea na mashabiki waliofika kwenye show hiyo.Kwenye hiyo show Diamond aliuliza,”Mnataka kumjua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari lakamatwa likiwa na pipi saba na mwili wa marehemu wenye pipi 7 tumboni...

Kutoka Morogoro taarifa ni kwamba jeshi la polisi la mkoa huo limefanikiwa kukamata gari ndogo aina ya Spacio likiwa na mwili wa marehemu ambapo zoezi hilo limefanikiwa baada ya taarifa kutoka kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUWA MAKINI,Walaji wa 'kitimoto' kuugua Kifafa.

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimehadharisha walaji wa nyama ya nguruwe nchini, kuwa wanakabiliwa na hatari ya kupata kifafa.Utafiti wa kisayansi uliofanywa na SUA, umebaini kuwa baadhi ya...

View Article
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live