Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Msanii wa Burundi Kidum, anahitaji kufanyiwa upasuaji.

$
0
0
Kwa mujibu wa Standard Digital, Kidum ameeleza hayo katika mahojiano aliyofanya Sofia Wanuna wa KTN, lakini hakutaja kinachomsumbua na kumfanya ahitaji kufanyiwa upasuaji.
“Sitaki kuwapa mapararazzi maelezo kama hivi waandike gossip kuhusu hili. Lakini ninahitaji kufanyiwa upasuaji.” Amesema Kidum.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles