MTV Africa Music Awards (MAMA) kufanyika Afrika Kusini kwa mara ya kwanza.
MTV Africa Music Awards kwa ufupi MAMA, zimepangwa kufanyika Afrika Kusini kwa mara ya kwanza tangu zianzishwe rasmi mwaka 2008 zilipoandaliwa kwa ushirikiano wa MTV na VIMN (Viacom International Media...
View ArticleKUMBA SANAA BONGO HAILIPI,WASANII WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA WAKATI MFUKONI...
SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao.Hilo...
View ArticleUTABIRI WA TB JOSHUA WATIMIA-NI KWELI AIR MALAYSIA ILIANGUKA INDIAN OCEAN NA...
Baada ya ndege ya Air Malaysia kupotea Mtabiri TB Joshua Alisema Kuwa Ndege hiyo itakuwa imeanguka Kwenye Bahari ya Hindi na Hakuna Aliyepona ,,,Utabiri huo kwa wengi ulichukuliwa kama mzaha lakini leo...
View ArticleBrendan Rodgers, asema msimu huu si wa Liverpool kutwaa ubingwa.
Meneja wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers, bado hakubaliani na vyombo vya habari juu ya mpango wa kikosi chake kuwa sehemu ya klabu zinazopewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa soka nchini Uingereza...
View ArticleRihana kupewa tuzo maalum na wabunifu wa mavazi wa Marekani kwa uchaguzi wake...
Rihanna anatarajiwa kuwa mwimbaji wa kike atakayepewa heshima kubwa kwenye kiwanda cha mitindo ya mavazi Marekani kwa kupewa tuzo maalum kutokana na jinsi anavyochagua mavazi yake kila...
View ArticleBaada ya kutolewa kwenye KTMAs, Madee adai BASATA wamechelewa na amewapa...
Habari ya kuondolewa kwa wimbo wa Madee ‘Tema Mate’ kwenye kinyang’anyiro cha KTMAs bila shaka zimewasikitisha wanafamilia wa Tip Top Connection na mashabiki walioipendekeza kwa kura nyingi ngoma...
View ArticleQ Chillah asema hafanyi filamu kukimbia majukumu ya muziki.
Mwimbaji wa bongo flava, Q Chillah ambaye hivi sasa anaonekana kuwa karibu zaidi na kiwanda cha filamu amesema kuwa kuingia kwenye tasnia hiyo haimaanishi kuwa amekimbia majukumu ya muziki.Q Chillah...
View ArticleMASKINI WATOTO WATEKETEA KWA MOTO HUKO TABORA.
Watoto hao walipokuwa wamelala na kuteketea kwa moto ambao chanzo chake inadhaniwa kuwa ni hitilafu za umeme.Miili ya watoto wawili wa familia moja Daniel Paul(8)na mdogo wake Emmanuel Paul(3) ambao...
View ArticleSHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA.
KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh...
View ArticleDIAMOND ANYANG'ANYWA GARI NA CHIEF KIUMBE.
LILE gari aina ya Toyota Land Cruiser V8 alilokuwa akitanua nalo staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ liko sokoni linapigwa bei.Gari hilo linalomilikiwa na pedeshee maarufu Bongo,...
View ArticleJINI KABULA ANAMSUBIRI BUSHOKE AJE ILI WAFUNGE NDOA.
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke aliyeko...
View ArticleVictoria Kimani azungumzia imani yake na uwepo wa Freemason kwenye muziki wa...
Story za Freemason zinaweza kuwa zimewachosha baadhi ya watu hivi sasa au wengine wanaweza kuzichukulia kama story zilizowahi kuwa maarufu, lakini kwa wengine bado hiki ni kitu cha kukifahamu hasa...
View ArticleOSTAZ JUMA NAMUSOMA NA JOHARI WA BONGO MOVIE MAMBO YAO POA!
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo Muvi.Habari zilizolifikia Amani kutoka kwa chanzo...
View ArticleMSANII WA KIZAZI KIPYA H.BABA NA MTOTO WAKE MGONGONI.
Mwanamuzi Maarufu wa Bongo Flava H-Baba Hivi Karibuni amekutwa amembeba mtoto wake mgogoni kwa kutumia mbeleko kama wabebavyo wamama huku akiwa hana habari na mtu alipoulizwa alisema yeye anapenda...
View ArticleULEVI NOUMA YASABABISHA WALINZI WA RAIS OBAMA KUTIMULIWA KAZI.
Jarida la Washington Post nchini Marekani limeripoti kwamba askari watatu ambao ni walinzi wa president wameachishwa kazi kwa muda na kurudishwa nyumbani ili uchunguzi ufanyike.Askari mmoja kati ya hao...
View ArticleMajanga! Snura asema atapunguza viuno kwenye video zake, adai ataendeleza...
Mwimbaji wa bongo flava ambaye pia ni muigizaji wa filamu za kitanzania, Snura amesema kuwa amepunguza viuno kwenye video za nyimbo zake kutokana na kukosolewa na hata kutolewa kwenye baadhi ya...
View ArticleHaya ndio Majanga yaliyomkuta Kala Jeremiah KILI MUSIC AWARDS mwaka huu.
Mshindi wa tuzo kadhaa za muziki za Tanzania (KTMA 2013), Kala Jeremiah ambaye mwaka huu jina lake halikutajwa katika vipengele vyote vya kuwania tuzo hizo ametoa mtazamo wake kuhusu kutotajwa...
View ArticleSINTAH KUINGIA JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA MWAKA HUU.
Baada ya Sinta Kupost Instagram akimshukuru Boss Lady Zari wa Uganda na watu kuanza kuanza kusema anajipendekeza na kuwa hana hadhi ya Zari Sintah aliamua kuwajibu hao baadhi ya watu kupitia Blog yake...
View Article