Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mama Yake Rambo Mwenye Miaka 92 Baada Ya Upasuaji Wa Kubadili Sura.

Mama wa star wa filamu na kipenzi cha wengi duniani muigizaji  Sylvester Stallone aka Rambo ameonekaha hivi karibuni akiwa na muonekano tofauti na kwamba kafanya kila jambo kukimbia uzee.Mama huyu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hiki ndicho kitu kinachofuata kutoka kwa Diamond Platnumz.

Diamond aliwahi kusikika akizungumzia kuhusu kuja kwa nguo zake ambazo zitakuwa na brand ya WCB na kuuzwa kwenye maduka mbalimbali.Mwaka jana Diamond alikaa China zaidi ya wiki nzima kabla ya kufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yajue hapa mambo yanahusiana na February 11 pamoja na mengine.

Siku kama ya leo miaka 32 iliyopita alizaliwa Kelly Rowland ambaye aliwahi kuja Tanzania na kufika hadi Uwanja wa fisi.Kelly alikuja kwa ajili ya kampeni ya Staying Alive Foundation  ambapo alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STEVE NYERERE"WASANII WENGI WA BONGO MOVIES HAWAJITAMBUI"

Mwenyekiti wa kundi la Bongo Movie Unity, Steven Mangere ‘Steve Nyerere’ amesema wasanii wengi wa filamu hawajitambui, mbumbumbu na wabinafsi katika kila kitu, jambo linaloleta ugumu katika harakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Young Dee kumfungulia mashitaka mtu anayetumia jina lake Facebook kufanya...

Kumekuwepo malalamiko mengi kutoka kwa watu maarufu kutokana na kuwepo kwa watu wanaofungua akaunti za facebook  kwa majina yao na kufanya utapeli.Rapper anaewakilisha kundi la Mtu Chee, Young Dee,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Linex akanusha kuwa na uhusiano wa mapenzi na Agnes Masogange, 'Sina haraka...

Linex Sunday Mjeda, ambaye hivi karibuni ameonekana kwenye picha kadhaa akipoz na video Queen maarufu Tanzania, Agnes Gerald (Masogange), amekanusha kuwa na uhusiano wa mapenzi na mrembo huyo kama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vigogo sita CCM waitwa Kamati ya Maadili.

Vigogo sita ambao wanatajwa kuwa wanajiwinda kwa ajili ya kuwania urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu ujao, wameitwa mbele ya Kamati ya Ndogo ya Maadili ya chama hicho, kwa ajili ya kuhojiwa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vivian-namuheshimu Jaguar, mtuache.

 Mwanamuziki Vivian Wambui, amewaomba wapenzi wa muziki kumheshimu na kuacha kumuhusisha na tuhuma za uhusiano wa kimapenzi na Jaguar.Amesema anaweza kuwa na uhusiano na mtu yeyote anayempenda lakini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Irene Uwoya:Wasanii bado hatujaweza kuthamini muda wetu.

Mwigizaji wa filamu na mtangazaji wa kipindi cha redio cha Paradise, Irene Uwoya, amesema licha ya kwamba wasanii wanafanya bidii kuyafikia mafanikio, kikwazo kikubwa katika safari yao ni kutokuthamini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanasayansi wa kampuni ya Google:Wabuni magari yasiyotumia dereva.

Inawezekana kuwa na magari yasiyokuwa na dereva? Kampuni ya mawasiliano ya kompyuta ya Google inasema ndiyo. Magari hayo yapo na yataongozwa kwa kutumia kompyuta pekee, huku yakiwa na uwezo mkubwa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAY AVUNJA UKIMYA"NIMEMISS .............STEJINI"

 Ray C ambaye jina lake halisi ni Rehema Chalamila, ameahidi kurudi kazini (kwenye muziki) muda si mrefu sababu hata yeye ameimiss mic na jukwaa, “Naimiss steji vibaya mno!!!!” ameandika Ray C katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKWELI KUHUSU P-SQUARE.

Nyota toka nchini Nigeria, Peter Okoye wa kundi la P Square hivi kkaribuni kwenye mahojiano yake amefunguka kwa kusema kwamba kamwe kundi lao halitokuja kugawanyika kwa mmoja wao kufanya kazi peke yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole Afunguka, Ataja Mapesa Aliyomwaga Kufanya Video Ya Chuna Buzi.

Shishi Baby, maarufu zaidi kama Shilole, ameweka wazi kuwa amewekeza kiasi cha shilingi milioni 8 katika kutengeneza video ya ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina Chuna Buzi kwaajili ya kutoa kitu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kanisa Lingine La Ajabu Laibuka, Sheria na Misingi Yake Yashtua Wengi.Watu...

Kanisa lenye taratibu za ajabu za kuabudu limeibuka huko Virginia Marekani, ambapo waamini wake wameruhusiwa kuhudhuria ibada wakiwa uchi kutokana na madai kuwa Waamini wa makanisa mengi sikuhizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGNES MASOGANGE AFUNGUKA KUHUSU KUTONGOZWA NA WANAUME WAKWARE.

VIDEO Queen matata Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ amewajia juu kundi kubwa la wanaume linalomtaka kimapenzi wakati wanatambua vyema kuwa ana mtu wake.Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIVA LOVENESS NDANI YA PENZI ZITO LA CRAZY GK WA EAST COAST.

Diva akipenda, ulimwengu wote utajua. Hajui kuficha siri na haoni shida kuweka wazi hisia zake wote wajue. Na kwakuwa Valentine’s Day ndio hii, mtangazaji huyo wa redio ambaye kwa sasa ana uhusiano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA: PIGA, UA LAZIMA DIAMOND ANIOE.

Licha ya mama yake mzazi kupinga kwa nguvu zote, staa wa filamu nchini na mtangazaji wa Kipindi cha Runinga cha In My Shoes, Wema Sepetu ameapa kwamba hata iweje, lazima msanii maarufu wa muziki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIMWANA ALIYE VUNJA NDOA YA BOB JUNIOR AFUNGUKA LA MOYONI.

Mama wa mtoto wa kike mmoja na muigizaji kutoka kenya ambaye vile vile ni Promota ambaye alikumbwa na skendo kuwa ndiye chanzo cha ndoa ya msanii kutoka Tanzania Bob Junior na mkewe kuvunjika....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Mwanamke Mwenye Kiuno Kidogo Kuliko Wote Duniani.

Mwanzoni nilikuwa natia shaka juu ya hili mpaka nilipokuja kuona kuwa naye yumo miongoni mwa watu kwenye kitabu maarufu cha kumbukumbu za Guinness world.Cathie Jung ana miaka 77 na ndiye mwanamke...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MB Dog aeleza vitu anavyomiss Tip Top Connection.

Member wa zamani wa Tip Top Connection, MB Dog aliyeiteka Tanzania na Afrika mashariki na hit isiyozeeka masikioni mwa mashabiki wengi ‘Latifa’ amezungumzia mambo aliyoyamiss kwa kuwa nje ya kundi...

View Article
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live