HIZI HAPA NDIO GHARAMA ZA VIDEO YA- My Number One Rimix YA DIAMOND PLATNUMZ.
Naseeb Abdul “Diamond” ameweka kuhusu gharama za video yake ya Number One Remix aliyofanya na director Clarence Peters wa Nigieria.Diamond anasema gharama hii hazijumuishi usafiri wala accommodation...
View ArticleTAZAMA HAPA KIUMBE CHA AJABU DUNIANI.
>>Gonga Hapa Kulike Page Yetu Kwa Mastory Kibao>>
View ArticleKifaa Chenye Kufuli la Kuzuia Wanaume Kusaliti Wake Zao Chavumbuliwa.
Kifaaa maalum cha kumzuia mwanaume kutofanya mapenzi kimevumbuliwa, na hii ni katika kukabiliana na wanaume waliooa wasiweze kusaliti ndoa zao na hata kwa ajili ya vijana wanaowasaliti wapenzi wao.Kwa...
View ArticleMAAJABU YA DUNIA: Samaki Aina ya Sato Aingia Tumboni mwa Msichana wa Miaka 12...
MAISHA ya mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 12, (jina tunalihifadhi), anayesoma darasa la tano Shule ya Msingi Bwanza, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, yako hatarini baada ya kurukiwa na samaki aina...
View ArticleAL SHABAAB WAPIGA MARUFUKU WANANCHI WA SOMALIA KUTUMIA INTERNET NCHINI HUMO.
Wanamgambo wa Al Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaeda, wamesema kuwa wamepiga marufuku raia wanaoishi katika maeneo wanayodhibiti kutumia internet.Wapiganaji hao wametoa onyo kwa kampuni zote zinazotoa...
View ArticleMASOGANGE:NAOGOPA MUME WA MTU.
VIDEO Queen mwenye figa matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amesema anaogopa kama ukoma kutembea na mume wa mtu kama wafanyavyo baadhi ya watu.Akizungumza na paparazi wetu, Agnes ambaye hivi sasa...
View ArticleBUS LA MTEI LA CHOMWA MOTO NA WANANCHI BAADA YA KUSABABISHA VIFO VYA WATU...
Hii ni habari mbaya kwa Taifa lenye sifa ya Amani Tanzania ila watu wake wamegeuka wanyama na kuchukua maamuzi mikonon.Leo asubuhi bus la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia...
View ArticleBABY MADAHA 'AWACHANA' WASANII WANAOJIVUNIA ZIARA ZA NJE YA NCHI.
Msanii wa filamu ambaye pia ni mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya nchini Baby Madaha ambaye yupo chini ya kampuni inayojulikana kwa jina la Candy n Candy amefafanua kuwa msanii hatakiwi kutumia...
View ArticleBAADA YA WEMA SEPETU KUUANZA MWAKA VIBAYA SASA DIAMONDI AJITOSA KUMNUNULIA...
STAA wa Bongo Fleva mwenye mbwembwe kibao, pia anasifika kwa kuwa msafi na anasemekana ndiye mwenye mkwanja wa nguvu Bongo,Nasibu Abdul ‘Diamond’ anadaiwa yuko kwenye mchakato wa kumnunulia jumba la...
View ArticleUNGEKUWA WEWE UNGEFANYA NINI? MKE WAKO KAJIFUNGUA MTOTO MZUNGU WAKATI NYIE...
Nchini Uingereza mzazi Benjamin na mkewe Angela ambao wote ni weusi(Afrika),lakini mke wa Benjamin alijifungua mtoto mzungu kama unavyoona hapo.Kama wewe ni Mume au Mke ungefanya nini?
View ArticleSANDRA NA RUSHWA YA NGONO BONGO MOVIE.
STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ amesema kuwa tangu ajiunge Bongo Movie hakuna manufaa aliyoyapata kwa kuwa chama hicho kinaendekeza ubaguzi kwa kuthamini rushwa ya ngono.Akipiga stori na...
View ArticleMASOGANGE ANASWA NA BWANA WA JACK.
VIDEO Queen, Agnes Jerald ‘Masogange’ hivi karibuni alibambwa maeneo ya Sinza Kamanyola jijini Dar akijiachia na anayetajwa kuwa ni mpenzi wa Jack Patrick, Juma Khalid ‘Jux’.Wawili hao walibambwa...
View ArticleZITTO "SITAKI MALUMBANO NI MUDA WA KUTUMIKIA WAPIGA KURA SASA"
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuanzia sasa hataki malumbano na mtu.Kauli ya Zitto, imekuja siku moja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupiga marufuku chombo...
View ArticleMOTO WAMWAKIA PROFESA TIBAIJUKA NI BAADA YA KUZOMEWA NA WANANCHI.
Viongozi wa vyama vya siasa na wanaharakati wa masuala ya ardhi, wamesema kuzomewa kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ni matokeo ya makosa yanayowafanywa na...
View ArticleMwanamke mwenye miaka 48 akamatwa akiwa amejificha kwenye begi ili aingie...
Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu, unaweza kutumia akili nyingi kufanikisha tukio lako haramu na bado ikageuka kuwa kituko cha ajabu pindi utakapokamatwa!Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 48,...
View ArticleKutana na mtoto mwenye umri wa miaka 6 analipwa zaidi ya milioni 12 kwa wiki.
Mtoto mwenye umri wa miaka 6 ambaye anahusika kwenye series ya comedy ambayo itaanza kuonekana hivi karibuni analipwa dola 8,000 kila wiki akitokea kwenye episode moja.Kutokana na mkataba wake ambapo...
View ArticleHii ni kutoka Kenya jamaa amefufuka akiwa chumba cha kuhifadhia maiti.
Hii ni kutoka kwa majirani zetu ambapo tunaambiwa Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya mwanaume mmoja aliyedhaniwa kuwa amekufa na kufufuka akiwa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali...
View ArticleMPIGA CHABO MAARUFU AKAMATWA AKIPIGA CHABO WAPENZI GESTI.
NI aibu kubwa! Mpigachabo maarufu nchini, Andrea Masangu (29) amenaswa akiwa kwenye uvungu wa kitanda akiwapiga chabo wanandoa.Tukio hilo lilitokea Januari 10, mwaka huu, ndani ya Gesti ya Riverside,...
View ArticleHUYU JAMAA AJAOGA WALA KUGUSA MAJI KWA MIAKA 60.
Amoo Hadji, an 80-year-old Iranian man, has not taken bath for 60 years, according to the city website Bavanat.com.His skin is scaly, you can barely see his eyes and he smells to high heaven. The...
View ArticleKAJALA AELEZEA TUHUMA ZA KUIBA MUME WA MTU.
Ni zile stori za town sasa hivi ambapo mwigizaji Kajala amezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu ishu yake ya kuandikwa kwenye blogs na magazeti ya bongo kuhusu tuhuma za kuchukua mume wa mtu.Kajala...
View Article