Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kigogo Atiwa mbaroni baada ya KUMLAWITI Msichana wake wa kazi

Mtoto Rose (kushoto) aliyelawitiwa, na mwenzake Diana aliyetoroshwa na kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la Moses.**** Wakati watetezi wa haki za binadamu wakizidi kupiga vita matukio ya unyanyasaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

GARI LA LULU LAIBUA MAZITO

Mambo yamekuwa mambo, kadi ya gari jipya la staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ imeibua mazito kufuatia Jeshi la Polisi Dar es Salaam kubaini kuwa namba ya Sanduku La Posta (SLP)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nina Mimba ya Mbasha sio Gwajima -Flora Mbasha

Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania ambae pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha amefunguka na kusema kuwa hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na na Mchungaji wa Kanisa la kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PASTOR MYAMBA APATA AJALI

Taswira baada ya ajali hiyo.STAA wa filamu za Kibongo, anayepatia zaidi kuigiza kama Mchungaji, Emmanuel Myamba ‘Pastor Myamba’ amepata ajali baada ya gari lake aina ya Toyota Creasta kugongwa na gari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhehimiwa Temba kuachia ngoma mpya Jumamosi hii.....Serengeti fiesta Moshi...

Mhehimiwa Temba ametangaza rasmi kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la “Wazee wa jiji” jumamosi hii.Serengeti fiesta Moshi wamepewa fursa ya kuonja radha ya wimbo huo siku ya Jumamosi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baba yake Beyonce afichua siri ya tetesi za talaka kati ya Jay Z na...

Baba yake Beyonce Knowles, Mzee Mattew Knowles amefichua siri ya kuwepo ripoti kuwa mwanae anataka kuachana na Jay Z huku akigusia pia kuhusu kilichosababisha ugonvi kati ya Solange na Jay ndani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kondom za MALAYA wa Morogoro zawaathiri watoto.... Mkuu wa Mkoa anawa mikono,...

Biashara ya ngono iliyokithiri katika mji wa Morogoro imegeuka kuwa kero kwa wakaazi wa eneo hilo na familia zao hali inayowaweka hatarini zaidi watoto wadogo wasio na hatia wanaokutana na kondom...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SMS za Usagaji za Aunt Lulu Zanaswa.....Zilikuwa zinaenda kwa binti wa kidato...

Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pochi Yamuokoa Kajala Masanja kukaa nusu Uchi

Msanii wa filamu, Kajala Masanja, hivi karibuni alijikuta akiwa kwenye wakati mgumu baada ya kukaa kwenye kiti na kuachia sehemu zake nyeti kiasi cha kuwatoa udenda baadhi ya wanaume.Tukio hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Penzi la Mainda Lagombewa na Wanaume

Staa  wa  Filamu  za  Kibongo  aliyeamua  kumpokea  Yesu, Ruth Suka  'Mainda'  amesema  amekuwa  akipata  wakati  mgumu  kumjua  mwanaume  wa  kweli  ni  yupi  ambaye  anaweza  kumuoa  na  ndoa  yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shilole akiri kutotumia Condom kwenye mapenzi

Mwigizaji  wa  filamu  na  mwanamuziki  wa  miondoko    ya  kizazi  kipya, Zuwena  Mohammed  'Sholole'  amesema  kuwa  matumizi  ya  kondom  wakati  wa  mahaba  hayaleti  ladha  ndio  maana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete akataa wanafunzi kugeuzwa ‘matrekta’

RAIS Jakaya Kikwete ametaka kuondolewa kwa mpango wa kuwalimisha wanafunzi ili waweze kupata chakula wakiwa shuleni kwani dhamana ya kumlisha mtoto ni ya mzazi na mtoto hatakiwi kujilisha mwenyewe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfanyabiashara afia GESTI Jijini Arusha

Mfanyabiashara maarufu jijini Arusha, Olais Metili mkazi wa Uzunguni jijini Arusha, amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni ya Hoteli Diamond Motel iliyopo eneo la Sakina jijini hapa.   Mwili wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Ujerumani Wamuokoa Diamond kutoka kwa Mashabiki wenye hasira kali

Usiku wa Jumamosi ya Tarehe  30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiri, Mwanamuziki nyota wa Bongo Flava Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisa Usalama wa Taifa feki Atiwa Mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kumkamata Ofisa Usalama wa Taifa feki ambaye amekuwa akijipatia fedha kutoka kwa wafanyabiashara kwa kuwahusisha na makosa yanayohatarisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jumba la Big Brother Africa lateketea kwa moto, uzinduzi wa msimu mpya...

Moto mkubwa umezuka kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots katika studio za Sasani jijini Johannesburg, Afrika Kusini na hivyo kuahirishwa kwa kuanza msimu mpya uliokuwa uzinduliwe Jumapili hii,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Babu Tale aeleza ujumbe waliotumiwa na Promota wa Ujerumani kuhusu Diamond na...

Kufuatia tukio la vurugu kubwa zilizotokea wakati wa show ya Diamond Platinum huko Stuttgart, Ujerumani, promota wa kampuni ya Britts event ameutumia ujumbe uongozi wa Diamond.Akiongea na The Jump Off...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lady Jaydee Adai Maadu zake Wamebadilisha Wimbo.....Walianza kusema Jay Dee...

Malkia wa muziki wa R&B, Lady Jay Dee amedai kuwa maadui zake wamebuni njia mpya ya kumwangusha, baada ya zile za awali kutofanikiwa.   Katika waraka mrefu aliouandika katika mtandao wa facebook,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari la Rais lililoibwa Kenya lapatikana Uganda

Jumatano ya wiki iliyopita ndio liliibwa hili gari aina ya BMW lisilopenya risasi ambalo huwa linakuwepo kwenye msafara wa Rais Kenyatta, na taarifa ya Ikulu ilisema liliibwa wakati dereva wake ambae...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO Inatisha: Kundi la ISIS lamkata kichwa Mwandishi Mwingine wa Marekani,...

Kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Iraq na Syria (ISIS) limetekeleza mauji mengine ya kutisha kwa kumkata kichwa mwandishi  mwingine wa habari wa Marekani.    Mwandishi huyo aliyetajwa kwa jina la...

View Article
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live