Taswira baada ya ajali hiyo.
Katika ajali hiyo, hakuna mtu aliyejeruhiwa zaidi ya magari hayo mawili kuharibika.
Kwa mujibu wa Pastor Myamba, dereva aliyekuwa akiendesha gari lililogonga gari lake alitokomea na kuacha gari lake eneo la tukio baada ya kugundua kuwa ndiye aliyekuwa na makosa.
Magari yote mawili yamevutwa na 'breakdown' kisha kupelekwa kituo cha polisi Tegeta.