Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanamitindo ayashitaki Makampuni kwa kuonesha sehemu zake za siri kwenye TV...

Mwanamitindo Jessie Nizewitz ambaye alikuwa kati ya wasichana waliokuwa kwenye mashindano ya series ya ‘Dating Nak8d’ amefungua mashitaka dhidi ya makampuni yanayowezesha show hiyo kwa kurusha vipande...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mjumbe wa CCM ‘ajiunga’ UKAWA

 Jana ilikuwa kama sinema pale viongozi wa Kamati Namba Moja ya Bunge Maalumu walipojikuta wakibishana na mjumbe wao mbele ya waandishi wa habari, huku siri za mambo ya ndani ya vikao zikianikwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nicki Minaj ashindwa kufanya 'clean version' ya video ya Anaconda, aeleza...

Rapper wa Young Money, Nicki Minaj aliachia video ya ‘Anaconda’ ambayo kimaadili bila kusita haifai na huenda wengi bado tunasubiri kuona video nyingine ya toleo safi.  Kwa bahati mbaya hakutakuwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Marekani Yaanza kuwasaka Waliomchinja Mwandishi wa Habari James Foley

Kitengo cha sheria nchini ya Marekani kimeanza kufanya uchunguzi wa jinai dhidi ya kifo chamwandishi wa habari mwenye asili ya Marekani ,James Foley aliyeuawa na wapiganaji wa kiislamu wenye msimamo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jokate Na Vanessa Mdee Katika Beef Zito Kisa Penzi La Ommy Dimpoz

Habari  ya  Mjini   ni kuhusu Jokate Mwegelo  kutoka kimapenzi na Ommy Dimpoz ambaye ni star wa Bongofleva.  Habari zaidi zinasema kuwa Jokate na Ommy Dimpoz wamekuwa wapenzi kwa muda sasa ila kwa siri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Interview: Meninah azungumzia kipindi chake cha tv, kilichotokea baada ya...

Mwimbaji wa Bongo Flava aliyewahi kuwa mshiriki wa shindano la Kuimba BSS, Meninah La Diva amefanya exclusive Interview na  Times Fm na kufunguka mengi ambayo hakuwahi kuyasema.  Katika mahojiano hayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uchawi, Safari za Kuzimu na maswali ya Aibu kwa washiriki wa Bibi Bomba...

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetoa onyo pamoja na kutoza faini  ya takribani Sh milioni 5 kwa kituo cha redio na televisheni cha Clouds, kwa kukiuka kanuni za utangazaji za mwaka 2005....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi wa Darasa la Saba Abakwa na muuza genge

Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Batuli: Sitaki kusikia habari za Mtunisi.......Tulikuwa wapenzi zamani,...

YOBNESH Yusuph ‘Batuli’ anayekimbiza kunako soko la Bongo Movies, amefunguka kuwa hataki kusikia habari za aliyekuwa mpenzi wake aliye pia msanii mwenzake, Mtunisi kwani mapenzi yalishaisha.Akizungumza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DOWNLOAD/SIKILIZA WIMBO MPYA WA SAMATTA A - WANABOA

huu ni wimbo mpya kutoka kwa msanii anae kuja kwa kasi katika mtindo wa AfroPop ni wimbo wake wa pili kuutoa.usikilize hapa,..

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la Fiesta 2014 Lawa Gumzo Mkoani Tanga

Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisa.Barnaba Boy akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoni Tanga mwishoni mwa wiki.Wadau nao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi Ya Kanumba Na Lulu Yasikilizwa Kimya kimya, Lulu Hajui Kinachoendelea

Baada ya kimya cha muda mrefu, imefichuka kwamba kesi ya kuuawa kwa aliyekuwa staa mkubwa wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba  imechukua sura mpya baada ya kuanza kusikilizwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAITI YAZIKWA KIMAAJABU JIJINI DAR

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Makaburi ya Makamba Msakuzi, Mbezi jijini Dar es Salaam ambapo wananchi hao waligundua kuwa  maiti ya kijana huyo iliweka ndani ya jeneza kinyume na utaratibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI ABAMBWA NA MAITI DUKANI

UKANJANJA! Jeshi la Polisi wilayani Ikungi, Singida linamshikilia daktari anayedaiwa kuwa ni feki, Prosper Samson (pichani) kwa madai ya kumtibu mgonjwa Jibuli Mahende, mkazi  Kijiji cha Iyumbu, Sepuka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mfanyabiashara wa Madini Ajiua kwa kujipiga Risasi akikwepa kufia mikononi...

MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya dhahabu amejiua kwa kujipiga risasi kichwani. Amefanya hivyo wakati akiwakimbia wananchi wenye hasira na wachimbaji wadogo kwenye machimbo ya Kalole Kata ya Bugarama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhusiano kati ya Pete za Bahati na Mafanikio katika Maisha ya Mwanadamu

Kabla  hatujafahamu   kuhusu  pete  za  bahati  ni  vyema  na haki tukajua  kuhusu  IMMO Ring.   IMMO  Ring  ni  pete  inayo  undwa  na madini  aina  tano  ambayo  ni  Shaba, Dhahabu, Fedha, Zinki na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ile video mpya ya Bob Juniour ‘bolingo’ ndio hii imetoka

Kutana na Bob Juniour, staa mwingine wa bongofleva anaesema Masharobaro wanapendwa sababu wananyota ya Chips Mayai………. time hii Juniour ametuletea kioo chake kipya cha single ya ‘bolingo’

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond na Dabo watajwa kuwania tuzo za 'IRAWMA', Marekani

Wasanii wa Tanzania,  Diamond Platinumz na Dabo (wa Dancehall) wametajwa kuwania tuzo za IRAMWA (International Reggae and World Music Awards), Marekani.  Wimbo wa MdogoMdogo wa Diamond umemuwezesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la mkuu wa mkoa wa Kigoma baada ya watu wawili kufa kwa Ebola Congo DRC

Taarifa zinaarifu kwamba kati ya Wagonjwa nane waliokutwa na Ebola huko Congo DRC, wawili kati yao wamefariki dunia. Taarifa hizi zimeendelea kuwashtua na kuwafanya majirani kuzingatia tahadhari ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Malaria Yaua Mhamiaji Haramu wa Ethiopia

Mmoja wa raia wa Ethiopia waliokamatwa kwenye msitu wilayani Bagamoyo wakituhumiwa kuwa wahamiaji haramu na kulazwa hospitalini kutokana na matatizo ya afya, amefariki akipatiwa matibabu.  Dawita Alalo...

View Article
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live