MCHUMBA ALIYEUA NA KUJIUA ILALA, CHANZO PICHA ZA UTUPU.
Stori: Waandishi Wetu, Dar es Salaam na MwanzaMAPENZI ni sanaa tata sana, inawaumiza wengi, inavunja mioyo ya watu, inakatisha tamaa ya maisha, inaleta umaskini, inasababisha mauaji lakini siyo rahisi...
View ArticleMWANAMUZIKI AMANI KUTOKA KENYA AFUNGUKA NA KUSEMA AM IN LOVE.
Amani has been one of the most dominant women in the Kenyan music industry, lately dominating the airwaves with her collabo with Ugandan duo Radio & Weasel 'Kiboko Changu'.She has also kept her...
View ArticleATEMBEZWA UCHI MTAANI BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU HUKO TEGETA JIJINI...
Stori: Makongoro Oging’WANASEMA za mwizi arobaini, ikiongezeka moja mshukuru Mungu! Novemba 16, mwaka huu ilikuwa siku ya aibu kwa bosi Hussein Shaban (35) kufuatia kudaiwa kufumaniwa katika nyumba ya...
View ArticlePICHA ZA RAYUU ZENYE UTATA ZASAMBAA MTANDAONI..
Haijajulikana Kama walikuwa wana Act movie ama ndio mambo yaleeeeeeeeeeeee
View ArticleP SQUARE WAMUUMBUA DIAMOND PLATNAM..!!KUMBE HATA HAWAMJUI,HAYA NDIYO WALIYOSEMA.
Mwanamuziki wa P square, Peter Okoye ameoneshwa kushangazwa na taarifa kwamba mwanamuziki wa bongo fleva Naseeb Abdul alihudhuria harusi yake hivi karibuni nchini Nigeria na kuhudhuriwa na mastaa mbali...
View ArticleFOLENI ZA DAR ZAMSABABISHA HUYU MBUNGE WA SINGIDA MJINI KUPANDA BODA BODA.
Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji leo amejikuta katika wakati mgumu kutokana na foleni kali ya magari.Hata hivyo akili yake ilichemka haraka na kuamua kusahau kuwa alitajwa kwenye orodha ya...
View ArticleAKATWA MIKONO NA MIGUU BAADA YA KUCHOMA SINDANO YA KUONGEZA MAKALIO.STORY NA...
Apryl Michelle BrownImetokea huko Amerika Dada mmoja anayeitwa Apryl Michelle Brown, ambaye alienda kuchoma sindano ya kuongeza makalio kwenye kituo fulani cha urembo na afya huko marekani alifanya...
View ArticleMWAIGULU NCHEMBA ANENA MAZITO KUHUSU SAKATA LA ZITTO KUVULIWA MADARAKA.
Jisomee Mwenyewe Hapo Juu ....Dahhh
View ArticleDIAMOND PLATNUMZ AAMUA KUJIITA 'DOMO' INSTAGRAM.
Diamond Platnumz aka Prezident wa WCB ametoa kali na mpya kwa kuamua kujiita 'DoMo' kupitia ukurasa wake wa Instagram kama unavyo ona hapo chini. Yawezekana amefikia hatua hiyo baada ya watu wengi...
View ArticleSERIKALI YA ANGOLA YAZUIA DINI YA KIISLAM NA KUVUNJA MISIKITI YOTE.
Angola bans Islam and shuts down all mosques across the country because it 'clashes with state religion of Christianity'Minister of culture described Islam as a 'sect' which is banned as counter to...
View ArticleVideo:Angelina Jolie amnunulia Brad Pitt kisiwa chenye umbo la moyo.
Muigizaji maarufu wa kike Angelina Jolie amezitoa dola million 20 kumnunulia kisiwa binafsi patner wake wa muda mrefu katika mahusiano ya mapenzi Brad Pitt, kama zawadi katika siku yake ya kuzaliwa...
View ArticleJokate Mwegelo feki Awatapeli Watu kwa njia ya Mtandao.
Licha ya faida ambazo watu maarufu wanazipata kupitia social media lakini hii ni moja kati ya hasara kubwa wanazozipata pia kupitia mitandao hii ya kijamii.Leo hii @jokatem amewapa habari fans wake...
View ArticleMAMA MMOJA TOKA MAREKANI AMEPIGIWA SIMU NA SHETANI NA KUPOKEA SMS 48 ZA...
Mama mmoja toka Colorado nchini Marekani alipokea simu ya ajabu usiku mmoja wa manane kutoka kwenye namba 1-666-666-666 na ndani ya masaa machache alipokea meseji nyingi sana kutoka namba tofuti...
View ArticleAhukumiwa Kifo cha Kupigwa Mawe Mpaka Kufa Mara Baada ya Kumbaka na Kumpa...
Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 30 aliyefahamika kwa jina la Umar Mohammed Kandahar amehukumiwa kifo cha kupigwa mawe mpaka kufa na mahakama ya Upper Sharia ya Bauchi mara baada ya kumbaka na kumpa...
View ArticleAlikuwa Mwanaume na Sasa Amejibadilisha na Kuwa Mwanamke.
Huyu ni modo na mwanamuziki toka nchini Nigeria ambaye pia ni Miss saHHara, alizaliwa akiwa mwanaume kamili.Jana kupitia makala moja ikiwa ni katika maadhimisho yao alielezea kwa vile alivyonyanyasika...
View ArticleMFANYABIASHARA MAARUFU DAR AFUMWA AKILA URODA NA DENTI WA PRIMARY.
MZEE mmoja kigogo wa biashara ya kuuza mbao jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alinaswa kitandani ndani ya chumba akiwa na mrembo aliyedaiwa ni mwanafunzi wa shule moja ya msingi Tegeta Wazo,...
View ArticleKIJANA MIAKA 32 ANASWA NA BIBI KIZEE MIAKA 80.
Stori Kutoka Global PublishersKUNA mengi ya kushangaza duniani lakini hili la kijana Hamad Issa (32) kunaswa faragha na bibi kizee Adela Mkalau (80) linaongeza rekodi ya mambo yanayoshangaza, Risasi...
View ArticlePapa Francis Akabidhiwa Jezi Namba 10 Yenye Jina Lake Mgongoni na Rais wa FIFA
Rais wa FIFA, Sepp Blatter hivi karibuni alimtembelea Pope Francis ndani ya Vatican, na katika ziara yake hiyo alimkabidhi Papa huyu maarufu jezi ya FIFA yenye namba 10 huku ikiwa na jina lake...
View Article"ATAKAYESHIDWA KUMUDU GHARAMA MPYA ZA UMEME ATUMIE KIBATARI" KAULI HII YA...
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Naibu Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kutoa kauli ya kukatisha tamaa.Simbachawene, juzi...
View ArticleUKWELI WA ISHU YA SNURA NA MRISHO NGASSA.
Ni picha ambazo zimekua zikizungumziwa kwenye mitandao ya kijamii na hata kwenye mitandao mingine ya habari nchini Tanzania zikimwonyesha mchezaji wa Yanga Mrisho Ngassa akiwa mapenzini na mwimbaji...
View Article