
Leo hii @jokatem amewapa habari fans wake kuhusu account feki iliyopo kwenye instagram kwa jina la Jokate Urbun Mwegelo ambapo taarifa kutoka kwa Jokate ni kwamba ushafanyika utapeli kupita hiyo account.
“Poleni kwa wale waliotapeliwa laki tatu,simu etc. Hii ni account fake na sipo kwenye insta message. Samahani kwa usumbufu wowote uliojitokeza. Waambie na wenzenu napata wasichana wengi wanalalamika na ahadi hewa zinazotolewa kupitia account hiyo”. Hii ni tafsiri ya maneno aliyoaandika Jokate.

Hapo chini ndiyo account feki ya Jokate Instagram anatumia jina la JokateM
