Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Jokate Mwegelo feki Awatapeli Watu kwa njia ya Mtandao.

$
0
0
j3Licha ya faida ambazo watu maarufu wanazipata kupitia social media lakini hii ni moja kati ya hasara kubwa wanazozipata pia kupitia mitandao hii ya kijamii.

Leo hii @jokatem amewapa habari fans wake kuhusu account feki iliyopo kwenye instagram kwa jina la Jokate Urbun Mwegelo ambapo taarifa kutoka kwa Jokate ni kwamba ushafanyika utapeli kupita hiyo account.
“Poleni kwa wale waliotapeliwa laki tatu,simu etc. Hii ni account  fake na sipo kwenye insta message. Samahani kwa usumbufu wowote uliojitokeza. Waambie na wenzenu napata wasichana wengi wanalalamika na ahadi hewa zinazotolewa kupitia account hiyo”. Hii ni tafsiri ya maneno aliyoaandika Jokate.
j1
Hapo chini ndiyo account feki ya Jokate Instagram anatumia jina la JokateM
j2



Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles