Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

BAD NEWS KWA HASHEEEM THABEET.

$
0
0
Mtanzania Hasheem Thabeet amejikuta akikumbwa na hofu ya kupoteza namba yake baada ya mchezaji Steve Adams anayechipukia raia wa New Zealand ambaye amesajiliwa mwaka jana na club ya Oklahoma city thunder alisainiwa na timu hiyo july 2013 mpaka sasa ameonyesha uwezo mzuri hvyo kutishia namba ya Hasheem, tangu asajiliwe amefanikiwa  kufunga point 17 rebounds 10, assist 3 na blocks 3 ambapo ana wastani wa point 3.8 na rebound 4.6... 
Kutokana na umahiri huo kumekuwa na vita ya namba baina ya wachezaji hao.

>>Gonga Like Yako Hapa>>

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles