Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

LIBYA WAIBUKA MABINGWA CHAN 2014.

$
0
0
TIMU ya taifa ya Libya imetwaa ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2014 baada ya kuifunga Ghana
kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya bila kufungana Jumamosi Uwanja wa Cape Town.

Ushindi huo ni sawa na Libya kulipa kisasi kwa Ghana baada ya kufungwa kwa penalti 7-6 miaka 32 iliyopita kwenye fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

>>Gonga Like Yako Hapa>>

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles