Mwanzoni sikujua kama huyu jamaa anatabia ya ushoga nilipojaribu kumchunguza vizuri nikagundua jamaa si riziki.
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa.
Alianza kunitumia sms za mapenzi huku akinitakia magudinight kila siku
Nimejaribu kumkanya ila naona hasikii hadi wife ameshtukia nakuanza kugomba.
Ameniambia hata nifanye nini lazima nimlale mimi huo mchezo si uwezi kabisa
Msaada please nimuepuke huyu jamaa.