Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Kuhusiana na kuvuja kwa picha za utupu za staa wa muziki, Serikali yatangaza kumsaka aliyekuwa boyfriend wake…

$
0
0
DesireWaziri wa Maadili wa Uganda Simon Lokodo ameagiza kukamatwa kwa msanii Franklin kutoka Nigeria ambaye anatuhumiwa kwa kusambaza picha za utupu alizopiga akiwa na mpenzi wake Desire Luzinda.

Serikali ya Uganda ilipitisha sheria ya ‘Anti-ponography’ ambapo kusambaa kwa picha hizo kunamtia hatiani jamaa huyo kwa kuvunja sheria hiyo,iwapo atakutwa na hatia adhabu yake ni faini ya mil. 50 za Uganda sawa na dola shilingi elfu 20 au kifungo cha miaka 10.
Frenklin anatafutwa kwa kuvujisha picha hizo ambapo inasemekana kuvunjika kwa uhusiano wao kumepelekea jamaa huyo kuvujisha picha hizo.
Franklin-and-Desire-during-their-hey-days
Credit:Millardayo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles