
Video hiyo imeongozwa na Clarence Peters na kufanyika Lagos, Nigeria.
‘Nilikuwa nasema siku zote kuwa kama nikiwa kwenye video ya muziki lazima niwe lead, lazima iwe ya mwanamuziki mkubwa na wanatakiwa wanilipe vizuri,” alisema Dillish.
Video hiyo itatoka wiki ya kwanza ya mwezi December.