
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania kupitia Ofisa wa habari na Mawasiliano Bw.Boniface Wambura ametangaza kuwa Mechi ya raundi ya 25 ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya
Simba na Ashanti United inachezwa Jumapili Aprili 13 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam muda kuanzia saa 10 kamili jioni Na si Jumamosi Aprili 12 mwaka huu kama ilivyotangazwa hapo awali.