Hizo nguo unazoziona hapo juu zimeshonwa na manager wa wema sepetu Martin kadinda ambaye pia ni designer mkubwa wa diamond the platnumz kwenye vazi la single button.
Martin kadinda akaamua kushona nguo hizo na kupropose kwamba ziwe ndo nguo zao za harusi na akasuggest wavae kwenye sandolf yao kwani kiukweli zimewapendeza sana n the cloth look lovely to them, eti jamany muonekano wao ukoje,