Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

PENNY: MAPENZI YA SIRI SIYAWEZI.

$
0
0

PREZENTA wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa siku zote hawezi kudumu katika penzi la siri.


Penny alifunguka hayo alipokuwa akizungumza na paparazi wetu na kuainisha kuwa tangu amwagane na Diamond (Nasibu Abdul) ambaye kila mtu alikuwa anamjua, bado hajabahatika kuwa na mtu mwingine.

“Bado nipo nipo sana na kama ujuavyo, mimi siwezi kuyaficha mapenzi kama  nimepata mpenzi wala haichukui muda kila mtu atajua tu,” alisema Penny.
credit:GPL

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles