Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

LINAH SANGA ALIA NA MASTAA WA BONGO WANAOSAGANA.

$
0
0
MWANADADA anayekimbiza ndani ya Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ amesema anakiri kuwa usagaji upo kwa mastaa lakini yeye hajawahi kushiriki.


Linah alifunguka hilo alipokuwa akifanya mahojiani na paparazi wetu hivi karibuni akasema:
“Usagaji upo tena kwa mastaa wengi lakini kwa upande wangu mimi sijawahi kufanya hicho kitu na wala sitegemei kujihusisha nayo.”

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles