Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Rooney awa mchezaji anayelipwa fedha nyingi zaidi EPL baada ya kusaini mkataba mpya Manchester United.

$
0
0
Rooney ambaye ameichezea timu hiyo tangu  mwaka 2004, atakuwa anapata kitita cha pound 300,000 kwa wiki, sawa na dola 500,000 ni hivyo kuwa mchezaji wa ligi kuu ya Uingereza (EPL), anayelipwa fedha nyingi zaidi.
Kwa mujibu wa ripoti kutoka Uingereza, mkataba huo utakapoisha inaweza kuwa ndio wakati ambapo mchezaji huyo atakakuwa anastaafu soka na kwamba atabaki kuwa katika benchi la ufundi la timu hiyo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles