Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Fid Q aitaja 'Machozi Jasho na Damu' ya Profesa Jay kama albam bora ya karne.

$
0
0
Tajiri huyo wa mashairi na flow ametweet ujumbe huo wakati akijibu tweet ya Oscar Maboko aliyoeleza kuwa albam hiyo iliuza nakala milioni kadhaa lakini iliathiriwa na wizi za kazi wasanii.
"#MachoziJashoNaDamu is an indisputable/classic/dope/great&prolly the best album of the 1st century! #PROFJ @OscarMaboko @africanhiphop." Ametweet Fid Q.
Katika hatua nyingine, mdau huyo wa muziki, Oscar Maboko alieleza kuwa anaamini hata albam ya kwanza ya Sugu enzi hizo anaitwa 2 Proud iliathiriwa kimauzo na kanda za kurekodi kwenye Fm Radio zilizokuwa zinauzwa mtaani na kwamba karibia kila kijana aliyekuwa na radio cassette alinunua nakala hizo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles