Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Ikulu ya Marekani Chini ya Ulinzi Mkali Mara Baada ya Kukamatwa kwa Jamaa Aliyejaribu Kuruka Uzio Wake.

$
0
0
Ikulu ya Marekani imekuwa chini ya ulinzi mkali mara baada ya mtu asiyetambulika alipokamatwa akijaribu kuruka uzio wa Ikulu hiyo mnamo siku ya Ijumaa mchana.

Maafisa wa usalama wa nchi hiyo walimkamata jamaa huyo na hivi sasa yupo ndani. Mtu huyo inasemekana alikuwa amebeba mabegi mawili makubwa ila maafisa hawajatoa taarifa zaidi juu ya tukio hilo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles