
Zitto Kabwe ambaye ijumaa ya wiki hii kupitia mtandao wa kijamii kwenye akaunti yake ya Twitter ali break news kwamba hatogombea tena Ubunge kwenye uchaguzi ujao wa mwishoni mwa mwaka huu.
Baada ya hotuba yake kumalizika, millardayo.com ilifanikiwa kuongea na baadhi ya wananchi ambao kwa asilimia kubwa walionekana kutoridhishwa na uamuzi huo wa Mbunge wao Zitto Kabwe wa kutogombea tena ubunge.
Nna hizi ni baadhi ya picha mtu wangu kutoka Kigoma.
Chanzo:Millardayo.