Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Pastor aamua kuyakatili maisha ya mke wake mjamzito ili ampate muumini wake.

$
0
0
pastorMchungaji wa kanisa la Baptist Toronto, Canada aliamua kumuua mke wake ambaye ni mjamzito wa miezi mitano ili aweze kuwa na uhusiano wa karibu na mmoja kati ya waumini wake.
Philip ambaye tayari alianza kuwa na uhusiano na muumini huyo huku mke wake Anne Karissa akijua lakini baadaye aliamua kumsamehe.
Pamaoja na upendo wa mke wake kwake mchungaji huyo aliona hiyo haitoshi na kufanya uamuzi mgumu kwa kumzamisha mke wake kwenye maji hadi kusababisha kifo chake pamoja na mwanaye aliyekuwepo tumboni.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles