Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Mwana wa Raila Odinga hatimaye azikwa.

$
0
0


Maelfu ya waombolezaji walifika katika chuo kikuu cha jaramogi Oginga Odinga siku ya jumamosi kwa mazishi ya mwana wa aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Amollo Odinga.



Maafisa wa usalama walikuwa na wakati mgumu kudhibiti umati wa watu uliohudhuria mazishi hayo kumuaga Mwana huyo wa Raila Odinga.

Familia ya marehemu inapanga kupeleka sampuli za mwili wa Fidel mjini Berlin Ujreumani kwa uchunguzi kamili wa kifoi chake.

Fidel alipatikana amefariki katika kitanda chake nyumbani kwake wikendi iliopita.


Credit:BBCSwahili.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632