Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Aliyetoa Tuzo ya bidii ya kazi kwa Wanyama, aliwahi kuspend Valentine na mbuzi

$
0
0

Mwanasiasa mmoja nchini India, ameweka historia ya aina yake baada ya kuwatunuku Tuzo ya uaminifu wanyama kadhaa ikiwemo punda na swala akisema wameonyesha uaminifu mkubwa na kuwazidi binadamu.



Vatal Nagaraj, ndiye mwanasiasa ambaye ametoa tuzo kwa wanyama hao baada ya kujiridhisha kuwa ni waaminifu na hutekeleza wajibu wao kwa nidhamu kubwa, huku wanyama wengine aliowatunuku ni pamoja na mbwa na ng’ombe.

Wakati wa utoaji wa tuzo hizo, wanyama hao walipendeza kwa kuvalia shanga.

Punda walionekana kuwafurahisha watazamaji waliokusanyika katika sherehe hiyo kwani walikuwa wamepambwa maua, mwanasiasa huyo amesema punda hutumiwa kwa kiasi kikubwa kufanya kazi nchini humo lakini jamii nyingi bado hazitambui mchango wao.


Credit:Millardayo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles