
Ugonjwa huo ni wa kutikisika kichwa na haujafahamika sana Duniani kitu ambacho huenda kikaweka changamoto ya kuupatia tiba na kinga ya ugonjwa huo.
Watoto wengi wanahofiwa kufariki zaidi ambapo wazazi ambao wana watoto wanaougua ugonjwa huo wamesema kuwa hata wakienda hospitali hawapati huduma yoyote ya kutibu maradhi hayo na wameiomba Serikali kufanya uchunguzi kujua sababu ya ugonjwa huo na tiba inayopaswa kutolewa.
Credit:Millardayo.