Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

HAJALI MBAYA YA HEILKOPTA MAPEMA LEO KIPUNGUNI B DAR ES SALAAM.

$
0
0
helicopter-193569_640Taarifa ambayo imeripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ni kuhusu watu wanne kufariki kutokana na ajali ya Helikopta inayomilikiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii, yenye namba 5HTWA kuanguka katika eneo la Kipunguni B, Ukonga Dar es salaam.

Akizungumza na kituo cha ITV Kamishna wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuahidi kutoa taarifa kamili juu ya tukio hilo muda mfupi ujao.
 Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Waziri wa Maliasili na Utalii  ameandika hivi; “Naelekea Dar kutokea Dodoma kwenda kwenye eneo la tukio la ajali ili kuwapa pole wafiwa. Nitazidi kuwafahamisha.”

IMG-20141129-WA0011
IMG-20141129-WA0013
IMG-20141129-WA0014 (1)
IMG-20141129-WA0016 (1)
IMG-20141129-WA0020
IMG-20141129-WA0022
IMG-20141129-WA0023
Hakuna story itakayokupita mtu wang

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles