Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Wanaume Wanaopigwa Na Kukatwa Sehemu Za Siri Na Wanawake Zao Idadi Iko Hapa.

$
0
0
Pamekuwa na taarifa za kuteswa na kunyanyaswa kwa wanaume wa Kenya walioko kwenye ndoa kiasi cha kupelekea ndoa na familia nyingi kuvunjika.


Wanaume wapatao 310 nchini Kenya wamepigwa na wanawake wao katika mwaka huu, ambapo miongoni mwao 110 walikatwa sehemu zao za siri.

Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo ya Wanaume Kenya, Bw. Nderitu Njoka, amesema miongoni mwa wahanga hao wapo pia wanaume ambao wameunguzwa kwa kumwagiwa maji ya moto na tindikali.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles