Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

KUTANA NA MARAISI MATAJIRI ZAIDI AFRIKA.UHURU KENYATA WA KENYA NI WA NNE KWA UTAJIRI BARANI AFRIKA.

$
0
0
1. Rais Equardo Jose Dos.

Anashika nafasi ya juu kwa marais wa Afrika kwa kuwa na utajiri wa
dola bilioni 20.


2.Mohamed VII.

Rais wa Morocco anamiliki utajiri wa dola bilioni 2.5 za Kimarekani.

3.Teodoro Obiang Nguema.

Rais wa Equatorial Guinea ana utajiri wa dola za Kimarekani milioni 600.

4. Uhuru Kenyatta.

Rais wa awamu ya nne wa Kenya anamiliki utajiri wa dola za Kimarekani milioni 500.

5. Poul Biya.

Rais wa Cameroon anatajwa kuwa na utajiri wa dola milioni200.

6. King Mswati III.

toka nchini Swaziland anamiliki utajiri wa milioni 200 dola za Kimarekani.

7. Goodlucky Jonathan.

Rais wa Nigeria ana utajiri wa dola milioni 100.

8. Idriss Deby.

Rais wa Chad anasadikiwa kuwa na utajiri wa dola 50 milioni

9. Robert Gabriel Mugabe.

Rais wa Zimbambwe utajiri wake unakadiriwa kuwa ni dola milioni 10.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles