
Balozi wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na shirika la BBC, tukio hilo la kusikitisha limetokea Jumanne usiku, Dar es Salaam Tanzania.
Msemaji wa serikali ya Tanzania, Arthur Mwambene amethibisha taarifa za kujiua kwa balozi hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na shirika la BBC, tukio hilo la kusikitisha limetokea Jumanne usiku, Dar es Salaam Tanzania.
Msemaji wa serikali ya Tanzania, Arthur Mwambene amethibisha taarifa za kujiua kwa balozi hiyo.