Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Balozi wa Libya Tanzania ajiua kwa risasi.

$
0
0
Balozi wa Libya nchini Tanzania, Ismail Nwairat amejiua kwa kujipiga risasi kichwani.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na shirika la BBC, tukio hilo la kusikitisha limetokea Jumanne usiku, Dar es Salaam Tanzania.
Msemaji wa serikali ya Tanzania, Arthur Mwambene amethibisha taarifa za kujiua kwa balozi hiyo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles