Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

DIAMOND AMEKUFA KIUME KATIKA TUZO ZA BET!!! KURA ALIKUWA ANAONGOZA KWA ZAIDI YA 60% LAKINI BADO KASHINDWA

$
0
0
Screen Shot 2014-06-29 at 9.53.47 PM
Jana tar 29/06 ndo ilikuwa kilele cha tuzo kubwa duniani "BET AWARDS" ambapo Diamond masanii kutoka Tanzani alikuwa akiwania katika kipengele cha msanii bora kutoka Afrika.

Japo Diamond alikuwa akiongoza kwa zaidi ya 60% za kura zilizokuwa zikioneshwa live katika mtandao. Akiwazidi wenzake akina Davido, Mafikilizo, n.k lakini mwisho wa siku tuzo hiyo imenyakuliwa na Davido (Nigeria). Hatuwezi kulalamika maana inawezekana kabisa kuna vigezo vingine vinvyozingatiwa na sio suala la kura za watu tu.
Screen Shot 2014-06-29 at 9.07.09 PM
Davido, Mshind wa tuzo ya BET
Jambo lingine la kushangaza la la kibaguzi, tuzo za vipengele vya washinadani kutoka Africa zimetolewa peke yake katika ukumbi na muda tofauti na wasanii wengine wakubwa wa Marekani na kwingineko kama akina Beyonce, Chriss Brown nk. ambapo tuzo zao zilitolewa wakati mwingine kabisa bila kuchnganywa na wasanii kutoka Africa. Yaani kwa ufupi tunaweza kusema kulikuwa na utoaji wa Tuzo za watu wa chini (Africa) na baadaye, muda tofauti kabisa kukawa na utoaji wa tuzo za watu wa juu (Marekani n.k). HII SIO NZURI NA INAPASWA KUKEMEWA

Diamond ame andika hivi baada ya kukosa tuzo hiyo
Screen Shot 2014-06-29 at 9.45.57 PM

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles