
Kumbe suala la picha za utupu hasa zile waheshimiwa wabunge limeguswa na wengi katika hisia tofautitofauti. Kipindi watu walio wengi wakiwalaumu watu wanaoonekana katika picha hizo kumbe kuna wengine wanojua kufikiri kwa kina wameona wenye kosa kubwa ni waendeshaji na wamiliki wa mitandao(blogs, websites) ambao wanaziruhusu habari/picha hizo kuruka kwa hewa. Kama unataka kusoma makala yote yenye maoni hayo, bofya hapa http://lupojizoissaya.blogspot.com/2014/06/maoni-yangu-juu-ya-kusambaa-kwa-picha.html?spref=fb