
Siku kadhaa zilizopita alitajwa kuwa mwanasoka bora wa ligi hiyo kupitia chama cha wanasoka wa England na nyingine ya chama cha waandishi wa habari, leo hii wakati zikitolewa tuzo mbalimbali na wadhamini wa ligi hiyo benki ya Barclays… Suarez ameshinda tuzo mbili, uchezaji bora wa mwaka na ufungaji bora kwenye EPL.
Wakati huo huo kocha wa Crystal Palace Tony Pulis nae alijishindia tuzo ya kocha bora wa mwaka.