Huyu msichana aliwahi kutokea kwenye video ya mmoja kati ya wakali wa Nigeria aitwae Orezi ambae aliimba wimbo unaitwa Rihanna ambapo video ilifanyika Afrika Kusini na unaweza kuitazama chini mwisho kwenye hii post.Unavyoona…. kafanana na Rihanna kwa asilimia ngapi?