
Kwa mujibu wa TMZ, April 2 rapper huyo aliamriwa kukaa umbali usiopungua takribani mita 100 kutoka kwa Tiffney lakini akapewa nafasi ya kuwatembelea watoto wake siku za wikendi pekee.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa tena mwezi huu.
Mwanzoni mwa mwezi huu, Tiffney Cambridge aliripoti polisi akimtuhumu The Game kumshambulia na kumpasua pua na kumsababishia majeraha mengine usoni.