Jamany wema sepetu atakufa kwa presha, baada ya msanii diamond the platnumz kupata show nchini marekani, wema sepetu aamua kumsindikiza mpenzi wake kwenye show.hiyo,
Gossip, yaani chini yacarpet inasemekana kuwa kuna warembo zaidi ya wa3 walishajiandaa na kuwekeana dau kuwa diamond the platnumz akitua tu marekani lazima watembee naye, But hapana chezea madame kasema safari hii wataula za chuya, kwa sababu tayari wema kashakata na kubuk mpaka na ticket, na kwaa taarifa yenu atapanda nae pipa kwenda kwenye show hiyo, so big up to wema sepetu hahah, haya madame abiria chunga mzigo wako.
Gossip, yaani chini yacarpet inasemekana kuwa kuna warembo zaidi ya wa3 walishajiandaa na kuwekeana dau kuwa diamond the platnumz akitua tu marekani lazima watembee naye, But hapana chezea madame kasema safari hii wataula za chuya, kwa sababu tayari wema kashakata na kubuk mpaka na ticket, na kwaa taarifa yenu atapanda nae pipa kwenda kwenye show hiyo, so big up to wema sepetu hahah, haya madame abiria chunga mzigo wako.