Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

MAFURIKO YAZIDI KUITESA JIJI LA DAR! ONA MAMBO YALIVYO KWA SASA.

$
0
0
Mburahati na Mayfair leo asubuhi.

Tokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali ya Dar esSalaam, zimepelekea uharibufu wa barabara na mazingira.

Haya ni maeneo ya jiji la Dar es Salaam yaliyoathirika na mvua inayoendelea kunyesha na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi hasa wanaoishi bondeni au kwenye mkondo wa maji mfano mito.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Trending Articles