
Chandra wisnu ni baba wa watoto wanne anaeishi Nchini Indonesia.

Sura yake hapo utotoni kabla ya kuugua ugonjwa huu.

Hali ilivyo sasa

Hapa akiwa na Mtoto wake wa kiume

Hapa akiwa na familia yake.

Hapa akiwa na Mke wake Chandra wisnu.


Mungu amsaidie na asamehe makosa yake kwani alipopata ugonjwa huu ndugu na marafiki walimtenga katika jamii yake huko Indonesia. na nakuombea wewe unaesoma habari hii mungu akuepushe na ugonjwa huu.
Tafadhali Coment AMEN kisha Share kwa Marafiki waone.
Tafadhali Coment AMEN kisha Share kwa Marafiki waone.