Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JOKATE: HAKUNA KAMA DIAMOND.

Jumamosi iliyopita, Oktoba 25, 2014 ilikuwa ni Siku ya Msanii Duniani ambayo kwa mara ya kwanza, Tanzania iliiadhimisha siku hiyo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, mgeni rasmi akiwa ni Makamu...

View Article


JAMANI ETI WIMBO HUU WA DIAMOND PLUTNUMZ-MDOGO MDOGO INA KASORO GANI.NIMEKUTA...

View Article


HII NDIO NGOMA AMBAYO KWA SASA KUMBI ZOTE ZA STAREHE HAPA BONGO INASHIKA NO 1.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA MAMBO KUWA MAMBO DIAMOND PLUTNUMZ AMEANDIKA BARUA YA KUOMBA MSAMAHA...

View Article

SINA SHAKA NA HUYU JAMAA LABDA WEWE.SIKILIZA HAPA CHINI NA KUTOA MAONI YAKO.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huu Ndio Mwonekano Wa Rapper Rick Ross Baada Ya Kupunguza Kilo 45,Tumbo...

Rapper Rick Ross ambaye ndio mmiliki wa record lebel MMG amepunguza kilo zingine zaidi na sasa muonekano wake umabadilika sana. Mchakato wa kupunguza kilo na kuwa na afya bora ulianza mwaka moja nyuma...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada Ya Kutoroka Msichana asimulia ya Boko Haram.

Ni miezi sita sasa baada ya wanamgambo wa kiislam wa kundi la Boko Haram kuwateka wanafunzi wasichana Zaidi ya 200 kaskazini mashariki mwa Nigeria, wasichana watatu ambao wametoroka wamezungumza katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Umesikia hukumu ya Nahodha,wasaidizi wake kwa kuzamisha meli? Isome hapa.

Lee Joon-seok (Aliyefungwa pingu) aliyekuwa nahodha wa Mv Sewol akifikishwa mahakamani.Upande wa mashtaka wa kesi inayowakabili nahodha Lee Joon-seok (68) na wenzake 11 waliokuwa wafanyakazi katika...

View Article


DIAMOND AMECHOKA NA MAPENZI.AMESEMA MAPENZI SASA BASI.SIKILIZA HAPA CHINI NA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Drake ameingia kwenye headline nyingine inayohusu ugomvi, isome stori yake hapa.

Drake amekuwa moja ya mastaa ambao wamekuwa wakikaa kwenye headlines mara kwa mara kutokana na sababu mbali mbali.Safari hii Drake ameangusha kitita kikubwa cha fedha wakati akiwa anaharakisha kuingia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nahodha Wa Bafana Bafana Auawa Kwa Kupigwa Risasi Afrika Kusini

Mlinda mlango wa klabu ya Orlando Pirates ya Afrika kusini Senzo Robert Meyiwa, amefikwa na umauti baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana mwishoni mwa juma lililopita.Kwa mujibu wa taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGOMA MPYA YA YOUNG KILLER MSODOKI NA BANANA ZORRO-UMEBADILIKA IKO HAPA.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF Yaomboleza Kifo Cha Nahodha Wa Bafana Bafana.

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limeelezea masikitiko makubwa kufuatia kifo cha golikipa na nahodha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini (Bafana Bafana).Senzo Meyiwa (27) ambaye alikuwa golikipa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDOA YA LADY JAY DEE SASA BASI HUU NDIO UTHIBITISHO KAMILI.

Huku wakiendelea kugoma kuwa wameachana siri ya ndani ambayo inazidi kufumuka kwa mastaa wawili ambao wemetengana kinyumba ambao ni mwanamuziki Judith Wambura’Lady Jay Dee’na mtandazaji kiwango Gardner...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Upinzani waandika historia mpya Tanzania.

Sehemu ya wanachama wa NCCR - Mageuzi, CUF, NLD na  Chadema wakionyesha alama ya vidole vitatu wakati wa utiaji saini makubaliano ya ushirikiano baina ya vyama hivyo jana kwenye viwanja vya Jangwani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheka aona ngumi hazilipi, arudi kuokota chupa Na Makopo Mtaani.

Nyumbani kwa bondia Francis ‘SMG’ Cheka hakuishi pilika ambazo zinatokana na kazi ya chupa za plastiki anayofanya bingwa huyo wa zamani wa dunia wa WBF.Nje ya nyumba yake kuna mafurushi kila kona...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hichi Ndicho Alichosema Jackie Chan kuhusiana na mtoto wake kukamatwa na dawa...

Mkali wa movie kutoka Hong Kong China, Jackie Chan ameomba vyombo vya habari ‘vijichunge’ na namna vinavyoandika taarifa kuhusiana na kitendo cha mtoto wake kukamatwa na dawa za kulevya kwa kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUJACHELEWA PAKUWA WIMBO MPYA WA Y TONY-MY SHITOBE.NI BONGE 1 LA PINI.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video Mpya Ya Hermer Q-Jero Iko Hapa.

Hermer Q ameachia video mpya ya wimbo wake ‘Jero’ iliyoongozwa na kampuni ya Paradise Video.Iangalie hapa:

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kuhusu kupatikana kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu Dar es Salaam.

Taarifa iliyoripotiwa na kituo cha Radio One imesema kuwa hofu imetanda eneo la Kijitonyama Dar es Salaam karibu na kanisa la KKKT baada ya kuonekana kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu, na kwa mujibu...

View Article
Browsing all 2632 articles
Browse latest View live