Habari mbaya: Juliana Kanyomozi ampoteza mtoto wake wa kiume.
Mwanamuziki maarufu wa nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, leo asubuhi amempoteza mtoto wake mdogo wa kiume Keron baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Pumu. Kwa mujibu wa gazeti na New Vision Keron...
View ArticleRC: Ma-DC Dar watawajibishwa kutowadhibiti waganga wa jadi
Watendaji wa serikali za mitaa na Wakuu wa wilaya watawajibishwa kwa kushindwa kutekeleza amri ya serikali ya kuwaondoa waganga wa jadi na mabango yanayotangaza kuwapo kwa dawa ya Ukimwi na kuchochea...
View ArticleKitale (Mkude Simba) amwagia sifa kedekede Riyama Ally.
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja maarufu wa kijamii nchini, mwigizaji wa vichekesho na filamu nchini, Kitale almaarufu kama Mkude Simba amemwamgia sifa kedekede mwigizaji mwigine anayefanya vizuri...
View ArticleKanisa Lafungwa baada ya Mchungaji wa kanisa hilo kufumaniwa Live na Mke wa...
Mwanzoni mwa Mwezi July 2014, Mchungaji Michael Semeni wa Kanisa la Living Word Ministry lililopo Ukonga- Majumba Sita jijini Dar es Salaam alifumaniwa live akijiandaa kuvunja amri ya sita...
View ArticleBinti aliyetumikishwa kwenye Madanguro China ahojiwa na Polisi kwa masaa 11
Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol), Tawi la Tanzania, limemhoji kwa saa kumi na moja binti aliyerubuniwa na kupelekwa China ambako kwa miezi mitatu alikuwa akitumikishwa kwenye madanguro nchini...
View ArticleWaumini wa Kanisa la Anglikana Temeke jana nusura WAZIPIGE wakati wa ibada
Kiongozi wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu Dk Valentino Mokiwa. Waumini wa Kanisa la Anglikana la Watakatifu wote Temeke, jana nusura wazipige wakati ibada ikiendelea ambapo hali hiyo...
View ArticleMtoto wa Miezi 7 ALAWITIWA na Baba yake Mzazi
Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi. Mtoto huyo alifikishwa Hospitali ya Amana katikati ya wiki iliyopita kwa maelezo kuwa ana maradhi ya kuharisha, lakini baada ya...
View ArticleTUNAOMBA RADHI KWA PICHA_HIVI NDIVYO VIUNGO VYA BINADAMU VILIVYOKUTWA KWENYE...
Mmoja ya Kiungo cha Mguu Baadhi ya Mifuko ambamo Maiti izo zilikuwa zimewekwa Moja ya kichwa cha Binadamu ambacho kimetolewa katika moja ya Mifuko hiyo Umati wa watu wakiwa wanashuhudia tukio hilo...
View ArticleMaisha ya Ray C Hatarini.....Wavuta Bangi waiwinda Roho yake Usiku na Mchana
Wiki za hivi karibuni mwanamuziki wa bongo fleva ambaye pia ni mwanaharakati wa kupinga matumizi ya dawa za kulevya Rehema Chamila 'Ray C' amepatwa na misukosuko mingi ambayo...
View ArticleMke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda
Jeshi la Polisi linamshikilia dereva mmoja wa pikipiki, maarufu kama bodaboda wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro baada ya mke wa askari polisi kukutwa amekufa chumbani kwa dereva huyo. Tukio hilo...
View ArticleVinara wa Mabomu Wakamtwa wakiwa na Mabomu 7, Risasi 6 na Baruti jijini Arusha
JESHI la polisi hapa nchini limefanikiwa kuwatia mbaroni vinara wa milipuko ya mabomu hapa nchini, Yusufu Ally (30) na mkewe Sumaina Juma (19), wakazi wa Sombetini, wakiwa na mabomu ya kurusha kwa...
View ArticleKilichoendelea katika kesi ya Mbasha Mahakamani jana July 23 2014: Mbasha...
KESI ya ubakaji inayomkabili mume wa Flora Mbasha ambae ni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Tanzania Emmanuel Mbasha (32), ilitajwa tena July 23 2014 katika mahakama ya wilaya ya Ilala ambapo...
View ArticleSakata la Viungo vya Binadamu kutupwa Dar: Chama cha Madaktari chataka Chuo...
Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa. Tamko hilo la chama limekuja huku...
View ArticleKABURI LA KUAMBIANA LATOBOKA KIMAAJABU
Muonekano wa karibu zaidi wa shimo hilo.SIKU chache baada ya kukutwa mauzauza katika kaburi la mwigizaji Rachel Haule ‘Recho’, kaburi la mwigizaji Adam Kuambiana (pichani)limekutwa limetoboka...
View ArticleJaji wa Mahakama kuu afungua kesi ya madai ya sh.Milioni 300 kutokana na...
Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga. Amefungua kesi...
View ArticleWanaodaiwa kulishambulia Gari la Magereza kwa Risasi Wapandishwa Kizimbani
Watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la kushambulia gari la magereza kwa risasi, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na mashitaka matatu. Watuhumiwa...
View ArticleKuhusu Mjane aliyefukuzwa nyumbani baada ya mazishi ya mumewe.
Kutoka kwenye Idara ya Hekaheka ina taarifa ya mjane aliyefukuzwa nyumbani kwa mumewe na ndugu wa marehemu zikiwa siku tatu baada ya mazishi ya mume wake,kanyang’anywa vitu kadhaa ikiwemo hati za...
View ArticleMwanamke wa Sudan aliehukumiwa kifo kwa kuolewa na Mkristo amewasili Italia.
Huyu wa kwanza kushoto aliembeba mtoto ni Makamu wa waziri wa mambo ya nje ya Italy Lapo PistelliKiongozi wa kanisa katoliki duniani Pope Francis Alhamisi ya July 24 2014 nchini Italia amekutana na...
View ArticleKundi lingine la uhalifu laibuka mkoani Dodoma....Vijana hao wanajiita...
Kundi kubwa la vijana wanaojiita wadudu wa dampo limeibuka mjini Dodoma na kufanya matukio ya uhalifu huku likihusishwa na mauaji ya watu wanne yaliyotokea hivi karibuni.Uwepo wa kundi hilo umezua hofu...
View ArticleLulu Michael Amfungukia Ali Kiba Na Kuwakoromea Wanaoendekeza...
Ali Kiba ameachia nyibo mbili kwa mpigo ambapo response ya mashabiki ni nzuri. Sasa kupitia Instagram star wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu" amefunguka mambo mengi sana kuhusiana na Ali...
View Article