Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

HII NDIO MPYA KUTOKA KWA RAPPER FID Q KWA SASA.

$
0
0
Ni mara chache sana unasikia Fid Q anafanya collabo na msanii yeyote kutoka nje ya Tanzania. 

Kwenye inteview na Efm Nov 20 1014, Diamond Platnum amesema amefanikiwa kumunganisha rapper kutoka Ghana Sarkodie na Fid q kutoka Tanzania baada ya kusikia Fid q angependa kufanya nae kazi. Diamond anasema alimtumia message Sarkodie ikiwa na clip ya show ya Fid q na jamaa alishanga shangwe la Fid q kutoka kwa mashabiki.
 
Mpaka sasa Sarkodie ameshatumiwa wimbo ambao atafanya na Fid q ili asikilize na kufanya sehemu yake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632