Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632
↧

Haya Kweli Majanga kwa Hawa Askari Wa Kikosi Cha Usalama Barabarani.

$
0
0
Kamanda a Polisi Mkoani Kagera Henery Mwaibambe ameeleza waandishi wa habari muda mfupi uliopita kuwa, askari hao na mwenzao aliyewapiga picha wametambuliwa na tayari wamefukuzwa kazi.

Kwamba walikuwa wanafanya kazi katika Wilaya ya Misenyi.
Polisi Mkoani Kagera imewafukuza kazi Askari wake watatu kwa kuweka picha za mahaba kwenye mitandao ya kijamii.
Askari hao walikuwa wanafanya kazi kikosi cha usalama barabarani Wilayani Missenye.
Kamanda wa Polisi Mkoani Kagera Henry Mwaibambe amesema picha hiyo sio ya kuchakachua na ilipigwa na askari mwenzao ambaye pia amefukuzwa kwa kuwa kitendo hicho kimelidhalilisha jeshi la Polisi.
CHANZO: jamiiforums
↧

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Latest Images

Trending Articles