Quantcast
Channel: D'JARO ARUNGU
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Diamond afanya wimbo na Mafikizolo Afrika Kusini.

$
0
0
Fursa ya kushiriki katika tuzo za MTV MAMA mwaka huu zimezaa matunda mengine kwa Diamond Platinumz baada ya kuingia studio na kufanya wimbo na kundi la Mafikizolo ambalo lilishinda tuzo ya kundi bora na wimbo bora (Khona) .
Diamond akiongozana na meneja wake, Babu Tale waliingia katika studio za mtayarishaji maarufu wa Afrika Kusini anayefanya kazi za Mafikizolo, Oskido ambapo kazi ilifanyika.
Bado jina la wimbo na atarehe za kutoka kwa wimbo huo hazijawekwa wazi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2632

Latest Images

Trending Articles